Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Tb Joshua atabiri mambo makubwa

Mathayo 7:22-23

Wengi wataniambia siku ile:Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?. Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.



Mathayo 10:41 Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki.

1 Wathesalonike 5:20 msitweze unabii;
 
Yeremia 14:14
Ndipo Bwana akaniambia, "Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao. Wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao.

Endelea zaidi kusoma Yeremia 23:21,32;27:15
MWENYE MASIKO NA ASIKIE.
 
Hana lolote ni tapeli kupitia imani. Ana intelligence yake au kubahatisha. Mara nyingi utabiri wake haitokei.

Akitabiri huwa anasema tuombe ili mabaya yasitokee..sasa utapeli wake uko wapi? ameshawahi kudai fedha? mara zote wanaompinga hawajawahi hata kuchukua robo saa ya kusikiliza mafundisho yake
 
Yeremia 14:14
Ndipo Bwana akaniambia, "Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao. Wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao.

Endelea zaidi kusoma Yeremia 23:21,32;27:15
MWENYE MASIKO NA ASIKIE.
Mkuu unabii wa kutabiri mambo mabaya tu, vifo, majanga, kushidwa(kama ile ya arsenal kutochukua kombe ), kutekwa ndege, operation ya obama kushidwa, kwani hakuna hata jambo moja zuri la kutabiri duniani..?!! Hii taktics zinatumiwa sana na wachungaji wa kisasa, ukienda kanisani wanaongelea kuhusu vifo, magonjwa tu, ndoa kuvunjika, kulogana, uchawi, negative, negative, wanawaingizia waomini mambo negative ili kuwateka na kuwafanya kondoo kirahisi.
 
Mathayo 7:22-23

Wengi wataniambia siku ile:Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?. Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

Usi quote mistari ya biblia kama kasuku ...... unafikiri kupitia mstari huo Yesu alimaanisha hakutokuwa na manabii tena? Walikuwepo,wapo na watakuwepo manabii wa uongo lakini Yesu mwenyewe alituambia tutawajua kwa matunda yao .......badala ya kujaa roho ya kupingapinga tu hebu soma biblia na msikilize kwa makini uone kama anakwenda kinyume na maandiko .....
 
TB JOSHUA Aliwahi kutabiri nini hasa kikatokea? Mara Ngapi??


Naomba mtu anisaidie japo evidences chache tu ili nianzie hapo.....

I'm serious!

Fahamu kuwa hatabiri ili asifiwe na wala hana haja hiyo, isipokuwa anataka watu wasali na kuomba mambo mabya yasitokee
 
Usi quote mistari ya biblia kama kasuku ...... unafikiri kupitia mstari huo Yesu alimaanisha hakutokuwa na manabii tena? Walikuwepo,wapo na watakuwepo manabii wa uongo lakini Yesu mwenyewe alituambia tutawajua kwa matunda yao .......badala ya kujaa roho ya kupingapinga tu hebu soma biblia na msikilize kwa makini uone kama anakwenda kinyume na maandiko .....

Sawa kabisa mkuu
 
tatizo tulilonalo sisi bnadamu ni moja tu, nalo ni hili huwa tunafikiri watumish wa Mungu ni watu wa kushindana nao na kuwabeza.

yaani wala hatukumbiki kwamba Mungu alishasema tusiwahukumu manake sio sisi tuliowaweka walipo na yeye aliyewaweka yupo na anaona na anajua adhabu yao iwapo watamkosea.

Binafsi huwa naogopa sna kumnyooshea kidole mpakwa mafuta wa bwana na ukweli hata kama nilishawah kutenda kosa hili kwa kujua ama kutokujua Mungu na anisamehe.

mie sina haja ya kumuamini yeye wala simwamini yeye ila namwamini Mungu aliyemweka alipo so kama atatuongoipea kwa jina la Yesu iyo ni juu yake but to me huyu ni mtumish wa Mungu na naamin anachokisema yeye kama mtumish wa Mungu.
You sound so easy to be manipulated! I guess ndo mambo ya imani, lazima kuwepo upofu kiaina.

Ni shida kubwa sana esp kwetu waafrika! Very sad Indeed!

Yaani extremely vulnerable, Its sickening!
 
Nimemiss message yake leo, I hope nitaona rebroadcast.
 
Usi quote mistari ya biblia kama kasuku ...... unafikiri kupitia mstari huo Yesu alimaanisha hakutokuwa na manabii tena? Walikuwepo,wapo na watakuwepo manabii wa uongo lakini Yesu mwenyewe alituambia tutawajua kwa matunda yao .......badala ya kujaa roho ya kupingapinga tu hebu soma biblia na msikilize kwa makini uone kama anakwenda kinyume na maandiko .....

Muombe MUNGU mkuu. Ipo siku utaujua ukweli.
 
You sound so easy to be manipulated! I guess ndo mambo ya imani, lazima kuwepo upofu kiaina.

Ni shida kubwa sana esp kwetu waafrika! Very sad Indeed!

Yaani extremely vulnerable, Its sickening!
Upofu wa physical macho sawa, lakina hana Upofu wa macho ya rohoni.
And who can tell about the things of spirit?
 
Prophet Tbjoshua is next level n is a peace of heaven walking on earth, wanaombeza wanapoteza Muda wao.... Hapa marekani ma shirika makubwa ya habari magazeti na tv yalithubutu kushindana naye mwisho yamenyoosha mikono,Mungu ameshampa GRACE ya kufanya mambo yasiyomithirika!!!!!wivu, roho mbaya na kila dharau hazina nafasi!!!! N soon ataipindua dunia miguu juu kichwa chini, is matter of time

Mjanja mjanja tu yule mtoto wa mjini
 
Amesema kati ya Ukrain na Russian ndege nyingine kubwa ya abiria itatunguliwa'
ametabiri kuhusu Obama kukimbizwa hospitali muda wowote kuanzia sasa hivi
ametabiri nchi inayopakana na Kenya Rais wake wa kutekwa,,,,,,,,je ni Tanzania?
Wizi mtupu!
 
Mkuu unabii wa kutabiri mambo mabaya tu, vifo, majanga, kushidwa(kama ile ya arsenal kutochukua kombe ), kutekwa ndege, operation ya obama kushidwa, kwani hakuna hata jambo moja zuri la kutabiri duniani..?!! Hii taktics zinatumiwa sana na wachungaji wa kisasa, ukienda kanisani wanaongelea kuhusu vifo, magonjwa tu, ndoa kuvunjika, kulogana, uchawi, negative, negative, wanawaingizia waomini mambo negative ili kuwateka na kuwafanya kondoo kirahisi.

Mkuu
Usiteseke huyu ni M-NIGERIA KAMA WALE WENGINE....
 
Upofu wa physicall macho sawa, lakina hana Upofu wa macho ya rohoni.
And who can tell about the things of spirit?
Umejuaje hana huo upofu unaousema wa "rohoni"?

Kwasababu alisema anawaamini wote ambao wanajita watumishi wa Mungu, na kwamba Mungu pekee ndiye anayejuwa yupi tapeli na yupi siyo! Lakini hilo halimfanyi kujiuliza ama kuwa na wasiwasi na matendo yao! Its kinda blind faith!

Sasa si afadahli wale wenye jitihada za kuwatambuwa?

Ina maana wengi wenu mko radhi kuliwa kwasababu Mungu pekee ndo atakayewahukumu wale watumishi ama manabii wa uongo?!!

Yani acha uliwe na kudanganywa, potelea mbali kwasababu Mungu ndo anayejuwa, sasa si upofu huo ni kitu gani?

Sitaki kujiingiza kwenye mabishano ya Imani, itakuwa ni kupoteza muda!
 
Back
Top Bottom