Fool said God does not exist and another fool said there is no God.msanii huyu keshaona lesotho kimenuka! kaja na utabiri sijui unabii....
only fools.. will listen to this dude....
Fool said God does not exist and another fool said there is no God.
Psalm 14: 1 The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works; There is none that doeth good.
Quran: LA ILAHA ILA ALLAH
Msiba huu upo kwako.
Km hua unamfuatilia alisema kabla
Akasema baada na.ilipokuwa ila c walipuuzia
Bt alisema kila kitu
Fool said God does not exist and another fool said there is no God.
Psalm 14: 1 The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works; There is none that doeth good.
Quran: LA ILAHA ILA ALLAH
Msiba huu upo kwako.
Sawa kabisa.msanii huyu keshaona lesotho kimenuka! kaja na utabiri sijui unabii....
only fools.. will listen to this dude....
Alipokuwa akitabiri Sheikh Yahya mlikuwa mnapiga
Mikeleleeee,Oh majini sijui nini! Akitabiri
Huyu wa kwenu eti Ooooh subiri tu uone yatatokea,
Hakuna lolote,ajuaye yaliyofichika ni Mungu pekee
Da! YESU aliwatabiri kabisa hawa kuwa siku za mwisho watatokea!!!!
Nimemiss message yake leo, I hope nitaona rebroadcast.
Mathayo 7:22-23
Wengi wataniambia siku ile:Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?. Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
huyu jamaa sijawahi kusikia katabili mambo mazuri, anatumia woga wa watu kama fulsa
Ya Lesotho si yameonekana na mwelekeo wake sote tunaufahamu, kuna haja ya kuuita unabii? Alisema ndege ya Malaysia ingepatikana; je ilishapatikana?
Binadamu bwana .......kabla hujaponda chukua biblia ujifunze maana ya unabii .....TB Joshua ametoa unabii wa mambo mengi na yametokea .......mtumishi wa Mungu utamjua kupitia matunda yake .......he is man of God .....
ukimaliza kusoma vidudu ingia grade oneWakuu
Jambo zuri kuhusu secret society(freemasonry and the like) ni kwamba wanajua kila kitu kitakachotokea kesho (siasa,uchumi),kwa kuwa kila kitu kipo kwenye plan/schedule.They are like brothers!!
Mipango wanapanga pamoja na kwa manufaa wanayojua wao!!
Just remember,EVERTHING IS PLANNED!!
Wakuu
Jambo zuri kuhusu secret society(freemasonry and the like) ni kwamba wanajua kila kitu kitakachotokea kesho (siasa,uchumi),kwa kuwa kila kitu kipo kwenye plan/schedule.They are like brothers!!
Mipango wanapanga pamoja na kwa manufaa wanayojua wao!!
Just remember,EVERTHING IS PLANNED!!
Mbona anatabiri mabaya tu, kwa nini sio mambo mazuri.?!