Huku Bara uzushi mwingiZanzibar kuna kiwanda kikubwa cha sukari sijui kwanini wasiruhusu iletwe huku bara....
Kiroba cha sukari kilikuwa kinauzwa elfu hamsimi na sits kama sikosei lakini sasa imepanda hadi kufikia elfu 96
Visingizio huwa havikosekaniKuadimika kwa bidhaa muhimu kama sukari ni moja ya viashiria vya mgogoro wa uchumi. Mgogoro huu unajitokeza mara kwa mara kwenye serikali ya awamu ya tano.
Wasije kusingizia mwezi mtukufu ndo unasababisha uhaba wa sukari wakati hali hii haikuwahi kutokea awamu zilizotangulia na mwezi mtukufu ulikuwepo.
Wazalishaji, Waigizaji wakubwa na Wauzaji Wakubwa wa sukari wote ni Waislamu, LAKINI kila mfungo mtukufu wa Ramadhani ukifika lazima shida hii ya sukari iibuke.Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.
Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.
Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.
Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!
Awamu ya 5 imewarudisha watu mwaka 1980 sukari na bidhaa nyingine vilitoweka madukani.Hii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.
Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.
Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.
Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!
Za kuambiwa changanya na zako,Tatizo la watanzania hawafuati maelezo ya viongozi wao mbona naibu waziri wa viwanda na biashara Stella Manyanya aliisema tutumie asali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe unajua bei ya asali ?Tatizo la watanzania hawafuati maelezo ya viongozi wao mbona naibu waziri wa viwanda na biashara Stella Manyanya aliisema tutumie asali.
Sent using Jamii Forums mobile app