barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Nenda sudani mkuu mkawe wa mjini, usiwe mshamba!Al bashir wa Sudan alionndolewa madarakani kwa kuzidisha bei ya unga wa ngano tu. Watanganyika sisi ni washamba wa maendeleo na tutaendelea kunyanyaswa maisha yetu yote hata na Washamba wanaokuja mjini!
Tatizo lako haupendi kufuata ushauri wa kitaalamu, yule Mhe. alisema sukari sio nzuri kiafya sasa wewe unalazimisha kutumia sukari hivi huwezi kunywa uji? Mbona serikali imetoa vipaumbele vingi tu, kuna uji, maji, soda, pombe n.k we kwanini hutaki kuelewa?Hata kama usemavyo ni kweli. Swali :Je sukari ipo mitaani?? Je ukibahatisha utauziwa kwa bei elekezi ya Serikali??
Acheni siasa kwenye masuala yanayowahusu au kuwaumiza Wananchi bila sababu za msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina haja ya kuambiwa na wewe wapi pakwenda. On thing for sure, sipo Tanganyika kusumbuliwa na washamba!Nenda sudani mkuu mkawe wa mjini, usiwe mshamba!
dingilai mwenyewew yuko chimbo hana habari na mtuHii ni foleni ya wanaonunua sukari Morogoro mjini ndani ya duka la mbunge wao.
Kinachonikera zaidi juzi waziri wa viwanda na biashara kapitishiwa bajeti mbovu sana huku wabunge wa CCM pamoja na spika wakijikita kuishambulia Chadema.
Aidha hawa ni wanunuzi wa jumla. Unapata Corona na sukari halafu ukitoka hapo wanakuja watu wa serikali za mitaa wanataifisha.
Kishindo cha awamu ya tano kwelikweli!
Morogoro si kuna kiwanda cha sukari, mbona kwenye picha tunaona viroba vya sabuni... hata hivyo sukari kiafya sio muhimu kiviiiilee tumekariri tu hatujui kula vizuri.
tabia ya sukari ni kupanda na kushuka, hata ndani ya mwili ni hivyo hivyo
Muda si mrefu Polepole ataanza kuwadanganya wananchi kuwa Chadema wameficha Sukari
Nilijua itakuwa imepanda kumbe hamnaKweli kabisa nimemuagiza dereva waLori anatoka zambia kaniletea Kwa 37000 tu mfuko wa kg 20
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua itakuwa imepanda kumbe hamna
Leo nimenunua sukari 6000 kilo. Sikuwa na jinsi maana ndani hakuna na inahitajika. Kutokana na mazingira jinsi yanavyoenda nikaona wacha ninunue kilo 10 niweke ndani kupisha lawama ya familia.Jana nimeenda sehemu asubuhi nataka chai naambiwa hakuna, kuuliza kwanini wanasema sukari hakuna madukani.
Wanawalazimisha wauzaji wa rejareja wauze kwa bei wanazotaka serikali (bei elekezi), wakati hao jamaa walinunua sukari yao kwa bei ya juu toka kwa wauzaji wa jumla, wauzaji wa rejareja walichoamua sasa ni kuificha sukari yao, hawaiuzi wasijepata hasara.
Ndio nikapata akili, naona siku hizi kama taifa tumeanza kurudi nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
YesBado iko bei hiyo na aliniambia wale wanaouza rejareja zile pakti ni sh elf Mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes tokea hapo sukar haijawah kushukaYes, jamaa alivyoingia tu madarakani alianza kuharibu kwenye sukari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipoingia madarakani alilizungumzia sana na kupiga marufuku uingizaji sukari toka nje ya nchi. Bei elekezi iliwekwa 1700/- lakini iligomea 2600 mpk 3000/-Hili la sukari nalo mpaka Rais alisemee kweli,,? Sukari tu
Huyu ndiyo waziri wa viwanda aliyeandika hiyo post Twitter?Hivi mahitaji ya sukari kwa mwaka yakoje?Uwezo wa ndani wa kuzalisha sukari ukoje?Kaisi gani tunahitaji kuagiza toka nje??Yaani maswali haya rahisi tu tunashindwa kuyasolve?? Hadi sukari kilo moja inauzwa 5k?Tena inapatikana kwa taabu kweli kweli wengine hadi wananunua kwa foleni
View attachment 1445773
Unamaanisha biashara zote za mama ntilie zifungwe ?Tujifunze kuishi bila sukari. Sukari nyingi inasababisha unene na magonjwa yasiyoambukiza.