nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Ngoma hii ni kali baada ya wale vibaraka wa mabeberu wa zamani kudhibitiwa kwa kupigwa marisasi,kutekwa,kupotezwa sasa limeiubuka kundi jipya la vibaraka wa mbeberu ambao wapo kwenye vita ya kiuchumi na sisi na wametumia issue ndogo tu ambayo inaingia kwenye nerves za wanyonge kidogokidogo
Mbaya zaidi hao vibaraka tuko nao mtaani wanamiliki viduka na vibanda,lo salaleeeee beberu anatumia hadi wauza duka kuchonganisha serikali ya wanyonge na wanyonge wake?
Mbaya zaidi hao vibaraka tuko nao mtaani wanamiliki viduka na vibanda,lo salaleeeee beberu anatumia hadi wauza duka kuchonganisha serikali ya wanyonge na wanyonge wake?