ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,939
- 1,625
Historia ni nini?
- Historia ni somo lihusulo mambo/matukio yaliyopita[ kale ], yaliyopo na yajayo.
Kabla hatujawatupia mizigo yote ya lawama Chama cha Mapinduzi [CCM] kwa huu umasikini wa taifa hili, tuji ulize maswali haya kwanza.
Maswali
1. Kwanini mtu mweusi duniani kote ana dharaulika kwa kiasi kikubwa sana?
2. Kwanini bara la Afrika licha ya mali zote hizi tulizo nazo lakini bado sisi ni masikini na ombaomba wa kutupwa?
3. Je, ni nchi gani duniani yenye majority watu weusi walioshika shughuli zote za uchumi na imeendelea kwa kiwango kikubwa bila ya watu weupe kuhusika?
4. Mbona Wazungu, Wachina, Wakorea, Wajapan na sasa Waarabu wameendelea lakini sisi watu weusi tupo nyuma sana?
5. Je, tunazifahamu historia zetu watu weusi kabla ya uwepo wa watu weupe huku kwetu zinasemaje? Au ndio zina anzia baada ya uwepo wa watu weupe?
6. Kwanini mtu mweusi anaonekana mjinga na anakatalika duniani kote kwa mataifa yaliyoendelea kuwa hana faida yoyote?
Fikra na mawazo ya ngono yamejaa ndani ya vichwa vyetu kuliko vitu vya msingi, kutwa ni kuwaza kuridhishana vitanda mwetu na mitindo ya ngono.
Kutafuta maarifa hatutaki kabisa tume waachia wazungu na waasia.
- Historia ni somo lihusulo mambo/matukio yaliyopita[ kale ], yaliyopo na yajayo.
Kabla hatujawatupia mizigo yote ya lawama Chama cha Mapinduzi [CCM] kwa huu umasikini wa taifa hili, tuji ulize maswali haya kwanza.
Maswali
1. Kwanini mtu mweusi duniani kote ana dharaulika kwa kiasi kikubwa sana?
2. Kwanini bara la Afrika licha ya mali zote hizi tulizo nazo lakini bado sisi ni masikini na ombaomba wa kutupwa?
3. Je, ni nchi gani duniani yenye majority watu weusi walioshika shughuli zote za uchumi na imeendelea kwa kiwango kikubwa bila ya watu weupe kuhusika?
4. Mbona Wazungu, Wachina, Wakorea, Wajapan na sasa Waarabu wameendelea lakini sisi watu weusi tupo nyuma sana?
5. Je, tunazifahamu historia zetu watu weusi kabla ya uwepo wa watu weupe huku kwetu zinasemaje? Au ndio zina anzia baada ya uwepo wa watu weupe?
6. Kwanini mtu mweusi anaonekana mjinga na anakatalika duniani kote kwa mataifa yaliyoendelea kuwa hana faida yoyote?
Fikra na mawazo ya ngono yamejaa ndani ya vichwa vyetu kuliko vitu vya msingi, kutwa ni kuwaza kuridhishana vitanda mwetu na mitindo ya ngono.
Kutafuta maarifa hatutaki kabisa tume waachia wazungu na waasia.