Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,162
- 3,162
Kama kuna jamii ya watu wa ajabu ni Waafrica, ukitizama mitandaoni utaona namna gani watu wako busy kuitetea Izrael na Palestina, watu wanakosa usingizi kutetea SLAVE MASTER wao.
Kwa kifupi kama umepata nafasi ya kuisoma vizuri historia ya Africa juu ya biashara ya utumwa ambayo imefanywa na hii jamii ya watu weupe ambao mimi nawaita ni SLAVE MASTER wa Muafrica
Leo utakuta mtu mweusi (MTUMWA/SLAVE) anashupaa anaumia kisa (SLAVE MASTER) Palestina/Wayahud wanauawa.
Kihistoria biashara ya utumwa imefanyika miaka 400, na inakadiliwa watu miliomi 15 waliathirika na utumwa. Ukienda kwenye makumbusho, utaona kuwa katika misafara hiyo kuna watu walikufa njiani, wajawazito walizidiwa na kutupwa maporini na kuliwa na wanyama wakali, kuna ambao walizama baharini wakati wa safari.
Watoto waliozaliwa salama walitupwa maporini. Jiulize, katika watumwa milioni 15 ni wangapi waliuawa katika harakati zote za utumwa mpaka wewe Mswahili (SLAVE/MTUMWA) ukose usingizi kisa Wayahudi/Wapalestina wanauawana. Wewe Mswahili (SLAVE/MTUMWA) pambana na umaskini wako, acha SLAVE MATER wauwane wao kwa wao
Kwa kifupi kama umepata nafasi ya kuisoma vizuri historia ya Africa juu ya biashara ya utumwa ambayo imefanywa na hii jamii ya watu weupe ambao mimi nawaita ni SLAVE MASTER wa Muafrica
Leo utakuta mtu mweusi (MTUMWA/SLAVE) anashupaa anaumia kisa (SLAVE MASTER) Palestina/Wayahud wanauawa.
Kihistoria biashara ya utumwa imefanyika miaka 400, na inakadiliwa watu miliomi 15 waliathirika na utumwa. Ukienda kwenye makumbusho, utaona kuwa katika misafara hiyo kuna watu walikufa njiani, wajawazito walizidiwa na kutupwa maporini na kuliwa na wanyama wakali, kuna ambao walizama baharini wakati wa safari.
Watoto waliozaliwa salama walitupwa maporini. Jiulize, katika watumwa milioni 15 ni wangapi waliuawa katika harakati zote za utumwa mpaka wewe Mswahili (SLAVE/MTUMWA) ukose usingizi kisa Wayahudi/Wapalestina wanauawana. Wewe Mswahili (SLAVE/MTUMWA) pambana na umaskini wako, acha SLAVE MATER wauwane wao kwa wao