kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Waafrika kila kukicha tunatukana watu wa magharibi kuwa ni wezi sijui mashetani
Wengine mabeberu
Nakutukuza sijui BRIS ndo mpango mzima kwasasa
Lakini cha ajabu na chakuchekesha ni kuwa kila kukicha maelfu ya watu weusi wanavuka bahari na wengine wanakufa baharini wakienda katika nchi za wazungu
Wingereza na ufaransa wengine kwasasa wamevuka mipaka wanaingia mpaka usa wengine Canada
Ninacho jiuliza kwani urusi na china zipo dunia gani mbona sisikii watu wakifa sijui bahari wakienda uko
Always kutenganisha mzungu na mtu mweusi ni vigumu saana tunaweza kuwakataa kimdomo mdomo lakini moyoni tukabaki nao
Kikubwa tuwaache waimbe Mali zetu kwa wingi ili wajenge kwao saana na sisi twende kwao kuchuna walicho kichukuwa afrika nakupata akili zaidi
Maana tusidanganyane mtu mweusi bado hajawa na akili ya kujitawala mwenyewe ndo maana tumekuwa Kama bendera bado tunaitaji elimu zaidi ya huu ulimwengu na jinsi ya kwenda na wakati maana mtu mweusi Ana Rudi na wakati
Wengine mabeberu
Nakutukuza sijui BRIS ndo mpango mzima kwasasa
Lakini cha ajabu na chakuchekesha ni kuwa kila kukicha maelfu ya watu weusi wanavuka bahari na wengine wanakufa baharini wakienda katika nchi za wazungu
Wingereza na ufaransa wengine kwasasa wamevuka mipaka wanaingia mpaka usa wengine Canada
Ninacho jiuliza kwani urusi na china zipo dunia gani mbona sisikii watu wakifa sijui bahari wakienda uko
Always kutenganisha mzungu na mtu mweusi ni vigumu saana tunaweza kuwakataa kimdomo mdomo lakini moyoni tukabaki nao
Kikubwa tuwaache waimbe Mali zetu kwa wingi ili wajenge kwao saana na sisi twende kwao kuchuna walicho kichukuwa afrika nakupata akili zaidi
Maana tusidanganyane mtu mweusi bado hajawa na akili ya kujitawala mwenyewe ndo maana tumekuwa Kama bendera bado tunaitaji elimu zaidi ya huu ulimwengu na jinsi ya kwenda na wakati maana mtu mweusi Ana Rudi na wakati