Nyafwili

JF-Expert Member
Nov 27, 2023
2,774
6,885
Kusema "Africa ni bara lenye giza" ninaweza kueleweka vibaya na kuonekana kama siyo sahihi. Lakini ukweli uliopo naona Africa ni bara lenye giza totoro, lililokosa watu welevu, ingawa natambua uwepo wa utajiri katika bara la Afrika, tamaduni zake pamoja na mandhari mbalimbali.

• Ndio, kuna watu wenye asili ya Kiafrika walio matajiri kwa sasa. Kuna wajasiriamali, wawekezaji, na watu wenye mafanikio katika nyanja mbalimbali duniani wanaochangia katika uchumi na jamii lakini ni kwa kiwango kidogo sana tofauti na mabara mengine.
Mifano ni pamoja na watu kama:-
(a) Aliko Dangote kutoka Nigeria,

(b) Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini,

(c) isabel dos Santos: Mjasiriamali na mwekezaji kutoka Angola, hii ndo orodha ya mifano ya watu matajiri kutoka Afrika waliopata mafanikio katika sekta mbalimbali duniani.



• Ila Tukija kwa upande wetu hapa Tanzania,
(a) Biashara ya kuuza Chips mayai, chips kavu, kuuza kuku wakisasa kwa mfumo wa vipande vipande maeneo ya mbagala na sehemu nyingine.

(b) Biashara ya duka la vyakula, akijitahidi sana atamiliki duka la Jumla.

(c) Biashara ya Kuuza maji stend, akijitahidi sana anakuwa machinga,

(d) Biashara ya Kilimo, akijitahidi sana atalima heka 10,

(e) Biashara ya duka la dawa, akijitahidi sana atafungua pharmacy ya kimtindo,

(e) Biashara kupangisha nyumba au guest, akijitahidi sana atamiliki nyumba zisizozidi kumi,

(d) kuwa mwanasiasa, akijitahidi sana anakuwa mwinzi wa mali za umma,

• Tukiachana na masuala ya mipango ya Mungu, Ongeza biashara nyingine za mtu. Mweusi.
 
Miguu ya kuku, utumbo na firigisi, we huoni Mama nanii anasomesha na kulipa kodi ya nyumba?
• Kutembeza matembele asubuhi nyumba kwa nyumba,

. Ndio analipa kodi ila hela anaipata kwa mateso makubwa na hela ya kusave inakosekana.
 
Kusema "Africa ni bara lenye giza" ninaweza kueleweka vibaya na kuonekana kama siyo sahihi. Lakini ukweli uliopo naona Africa ni bara lenye giza totoro, lililokosa watu welevu, ingawa natambua uwepo wa utajiri katika bara la Afrika, tamaduni zake pamoja na mandhari mbalimbali.

• Ndio, kuna watu wenye asili ya Kiafrika walio matajiri kwa sasa. Kuna wajasiriamali, wawekezaji, na watu wenye mafanikio katika nyanja mbalimbali duniani wanaochangia katika uchumi na jamii lakini ni kwa kiwango kidogo sana tofauti na mabara mengine.
Mifano ni pamoja na watu kama:-
(a) Aliko Dangote kutoka Nigeria,

(b) Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini,

(c) isabel dos Santos: Mjasiriamali na mwekezaji kutoka Angola, hii ndo orodha ya mifano ya watu matajiri kutoka Afrika waliopata mafanikio katika sekta mbalimbali duniani.



• Ila Tukija kwa upande wetu hapa Tanzania,
(a) Biashara ya kuuza Chips mayai, chips kavu, kuuza kuku wakisasa kwa mfumo wa vipande vipande maeneo ya mbagala na sehemu nyingine.

(b) Biashara ya duka la vyakula, akijitahidi sana atamiliki duka la Jumla.

(c) Biashara ya Kuuza maji stend, akijitahidi sana anakuwa machinga,

(d) Biashara ya Kilimo, akijitahidi sana atalima heka 10,

(e) Biashara ya duka la dawa, akijitahidi sana atafungua pharmacy ya kimtindo,

(e) Biashara kupangisha nyumba au guest, akijitahidi sana atamiliki nyumba zisizozidi kumi,

(d) kuwa mwanasiasa, akijitahidi sana anakuwa mwinzi wa mali za umma,

• Tukiachana na masuala ya mipango ya Mungu, Ongeza biashara nyingine za mtu. Mweusi.
Shida nawewe hujatoa elimu , kama hizo ndo biashara za mtanzania , hivyo aziache afanye biashara zipi?
 
Kusema "Africa ni bara lenye giza" ninaweza kueleweka vibaya na kuonekana kama siyo sahihi. Lakini ukweli uliopo naona Africa ni bara lenye giza totoro, lililokosa watu welevu, ingawa natambua uwepo wa utajiri katika bara la Afrika, tamaduni zake pamoja na mandhari mbalimbali.

• Ndio, kuna watu wenye asili ya Kiafrika walio matajiri kwa sasa. Kuna wajasiriamali, wawekezaji, na watu wenye mafanikio katika nyanja mbalimbali duniani wanaochangia katika uchumi na jamii lakini ni kwa kiwango kidogo sana tofauti na mabara mengine.
Mifano ni pamoja na watu kama:-
(a) Aliko Dangote kutoka Nigeria,

(b) Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini,

(c) isabel dos Santos: Mjasiriamali na mwekezaji kutoka Angola, hii ndo orodha ya mifano ya watu matajiri kutoka Afrika waliopata mafanikio katika sekta mbalimbali duniani.



• Ila Tukija kwa upande wetu hapa Tanzania,
(a) Biashara ya kuuza Chips mayai, chips kavu, kuuza kuku wakisasa kwa mfumo wa vipande vipande maeneo ya mbagala na sehemu nyingine.

(b) Biashara ya duka la vyakula, akijitahidi sana atamiliki duka la Jumla.

(c) Biashara ya Kuuza maji stend, akijitahidi sana anakuwa machinga,

(d) Biashara ya Kilimo, akijitahidi sana atalima heka 10,

(e) Biashara ya duka la dawa, akijitahidi sana atafungua pharmacy ya kimtindo,

(e) Biashara kupangisha nyumba au guest, akijitahidi sana atamiliki nyumba zisizozidi kumi,

(d) kuwa mwanasiasa, akijitahidi sana anakuwa mwinzi wa mali za umma,

• Tukiachana na masuala ya mipango ya Mungu, Ongeza biashara nyingine za mtu. Mweusi.
Katika hizo
We biashara yako ni ipi?
 
Kusema "Africa ni bara lenye giza" ninaweza kueleweka vibaya na kuonekana kama siyo sahihi. Lakini ukweli uliopo naona Africa ni bara lenye giza totoro, lililokosa watu welevu, ingawa natambua uwepo wa utajiri katika bara la Afrika, tamaduni zake pamoja na mandhari mbalimbali.

• Ndio, kuna watu wenye asili ya Kiafrika walio matajiri kwa sasa. Kuna wajasiriamali, wawekezaji, na watu wenye mafanikio katika nyanja mbalimbali duniani wanaochangia katika uchumi na jamii lakini ni kwa kiwango kidogo sana tofauti na mabara mengine.
Mifano ni pamoja na watu kama:-
(a) Aliko Dangote kutoka Nigeria,

(b) Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini,

(c) isabel dos Santos: Mjasiriamali na mwekezaji kutoka Angola, hii ndo orodha ya mifano ya watu matajiri kutoka Afrika waliopata mafanikio katika sekta mbalimbali duniani.



• Ila Tukija kwa upande wetu hapa Tanzania,
(a) Biashara ya kuuza Chips mayai, chips kavu, kuuza kuku wakisasa kwa mfumo wa vipande vipande maeneo ya mbagala na sehemu nyingine.

(b) Biashara ya duka la vyakula, akijitahidi sana atamiliki duka la Jumla.

(c) Biashara ya Kuuza maji stend, akijitahidi sana anakuwa machinga,

(d) Biashara ya Kilimo, akijitahidi sana atalima heka 10,

(e) Biashara ya duka la dawa, akijitahidi sana atafungua pharmacy ya kimtindo,

(e) Biashara kupangisha nyumba au guest, akijitahidi sana atamiliki nyumba zisizozidi kumi,

(d) kuwa mwanasiasa, akijitahidi sana anakuwa mwinzi wa mali za umma,

• Tukiachana na masuala ya mipango ya Mungu, Ongeza biashara nyingine za mtu. Mweusi.
Muziki huku akitegemea platform za apple wamuuzie. Hakuna mwanamuziki wanaowaza kuwa na platform zao wenyewe wauze wenyewe. Wanaijeria wamekuwa wakijipendekeza kwa wazungu wakati wso ndio wazalishaji wa mziki.
 
Swala la kujadili ni kwa nini tunaishia hapo ?
Nimetoka kumuuliza mzungu mmoja swali. Kaandika eti waafrika wana IQ ndogo kuliko wazungu na sababu kuu ni kuwa waafrika ni masikino.
Swali nililomuuliza ni je, wazungu wote ni matajiri?provided wazungu wana iq kubwa .
Je wazungu wengi ni matajiri ? Kama sio matajiri kwa nini ?
 
Swala la kujadili ni kwa nini tunaishia hapo ?
Nimetoka kumuuliza mzungu mmoja swali. Kaandika eti waafrika wana IQ ndogo kuliko wazungu na sababu kuu ni kuwa waafrika ni masikino.
Swali nililomuuliza ni je, wazungu wote ni matajiri?provided wazungu wana iq kubwa .
Je wazungu wengi ni matajiri ? Kama sio matajiri kwa nini ?
Utajiri ni hobbie na sio lazima
 
Mtu mweusi yupi fafanua maana wapo weusi wengi TU wanamiliki viwanda vikubwa TU huko duniani zikiwemo hotel,makampuni makubwa TU na wameajiri hao wazungu.
We umetaja hizo biashara za uswahilini
 
Sema uswekeni unakoishi hizo ndo biashara zao.
Wamiliki wa mabasi, malori, hoteli za hapa Africa nao si ni weusi wenzio.
 
Uchuuzi.Nunua vitu duka la jumla anza kuuza rejareja.Mzee Julius alikuwa anawachukia/hawapendi sana wachuuzi.
 
Kusema "Africa ni bara lenye giza" ninaweza kueleweka vibaya na kuonekana kama siyo sahihi. Lakini ukweli uliopo naona Africa ni bara lenye giza totoro, lililokosa watu welevu, ingawa natambua uwepo wa utajiri katika bara la Afrika, tamaduni zake pamoja na mandhari mbalimbali.

• Ndio, kuna watu wenye asili ya Kiafrika walio matajiri kwa sasa. Kuna wajasiriamali, wawekezaji, na watu wenye mafanikio katika nyanja mbalimbali duniani wanaochangia katika uchumi na jamii lakini ni kwa kiwango kidogo sana tofauti na mabara mengine.
Mifano ni pamoja na watu kama:-
(a) Aliko Dangote kutoka Nigeria,

(b) Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini,

(c) isabel dos Santos: Mjasiriamali na mwekezaji kutoka Angola, hii ndo orodha ya mifano ya watu matajiri kutoka Afrika waliopata mafanikio katika sekta mbalimbali duniani.



• Ila Tukija kwa upande wetu hapa Tanzania,
(a) Biashara ya kuuza Chips mayai, chips kavu, kuuza kuku wakisasa kwa mfumo wa vipande vipande maeneo ya mbagala na sehemu nyingine.

(b) Biashara ya duka la vyakula, akijitahidi sana atamiliki duka la Jumla.

(c) Biashara ya Kuuza maji stend, akijitahidi sana anakuwa machinga,

(d) Biashara ya Kilimo, akijitahidi sana atalima heka 10,

(e) Biashara ya duka la dawa, akijitahidi sana atafungua pharmacy ya kimtindo,

(e) Biashara kupangisha nyumba au guest, akijitahidi sana atamiliki nyumba zisizozidi kumi,

(d) kuwa mwanasiasa, akijitahidi sana anakuwa mwinzi wa mali za umma,

• Tukiachana na masuala ya mipango ya Mungu, Ongeza biashara nyingine za mtu. Mweusi.
Tunaomba kwanza kujua rangi Yako a asili Yako Kabla hatujajibu huu upotoshaji wako!
 
Back
Top Bottom