Unadhani kwa nini hiyo ilikusaidia kwa utafiti wako? au sakafu ina conduct vitu kwenye ngozi yako
Mkuu;
Sivyo bali mwili una tabia ya kuogopa baridi na sakafu hukusanya maji maji. Nimesema, hakikisha umesimama juu ya kitu kikavu sio juu ya box ambalo linakusanya maji. Vaa haraka nguo kavu usikae na ile taulo uliyo jifutia. Ukijigusa na yale maji maji utaanza kuwashwa