Carrick
Member
- Mar 9, 2016
- 11
- 3
Hili tatizo nami lanisumbua sana. Nilipata matibabu lakini bado halijatengemaanazidi kuhaha na vipimoWana Jf kwa anayefaham dawa nzuri ya allergy aniambie maana nasumbuliwa na ttzo la kuwashwa na kutokewa na viupele sehem mbali mbali ya mwili