peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Watanzania tulio wengi mamia kwa maelefu tunasubiri kauli ya serikali kuhusu nini kifanyike tar 17.3.2022 atakuwa katimiza mwaka mmoja tangu tuondokewe na mpendwa wetu Magufuli
Ikiwezekana tuazimishe siku hiyo kwa mapumziko na tuazimishe kwa kuwa kuwatembelea wamachinga na kuwajengea uwezo wasiojiweza na kuwasaidia ikiwa ni pamoja na kufanya ibada ya dini zote
Ikiwezekana tuazimishe siku hiyo kwa mapumziko na tuazimishe kwa kuwa kuwatembelea wamachinga na kuwajengea uwezo wasiojiweza na kuwasaidia ikiwa ni pamoja na kufanya ibada ya dini zote