Pole nyingi na mungu awajalie faraja. Inauma sana lakini mwenyezi mungu kamjalia kila mja wake siku za kuishi hapa duniani. Mungu alimpenda zaidi. Poleni sana wafiwa
Mungu wetu ni mwema na anatuwazia yaliyo mema!Sifa na utukufu ni mali yake.Pole sana ndugu yangu,Mungu aliekupa ndo aliechukua,na akupe faraja katika kipindi hiki kigumu kwako.
wapendwa, Mungu wetu ni mwema siku zote na uaminifu wake wadumu vizazi hata vizazi. nawashukuru sana kwa kututia moyo na kutupa nguvu ya kusonga mbele. Mungu awabariki sana.
mama pia amefarijika sana kwa maneno yenu na anawapa salamu za shukrani na heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.