Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
Maskiniii jamaniiii hata nashindwa cha kusema pole sanaaaa ndugu yangu tuko pamoja kwa sala.....jikaze umpe nguvu mama mtoto ni ngumu sanaaaa lkn Mungu ana mipango yake. Raha ya milele ampe ee bwana na mwanga wa milele amuangazie,apumzike kwa amani, Amina.