Hakuweka wazi ID yake ya JF hivyo ni vyema tuheshimu maamuzi yake.
Picha yake nimeshaiweka. Cha muhimu ni kwamba alikuwa mwana JF mwenzetu na alishiriki sana kwenye siasa za upinzani pamoja na Akina mnyika , na wengineo .
Yaani mfano ungesema ni Jon Stephano kafariki ingenigusa sana kuliko jina la kweli ambalo silijui
Aiseee mkaldayo ndio kwanza am rapidly approaching 30. Anza kuhesabu baada ya miaka 30. Kwasababu ulaya LAZIMA ufikishe 60
Pumzika kwa amani Mushi
Kuna wajuzi watakuja kutafakari. Kwanini Utajiri usiweze kuzuia kifo? Daaah Maisha ya duniani bure kabisa. Ni kama ambavyo hatumkumbuki tena Mengi #RIPJamani nipate mchango Kwani me ni mama au mke wa marehemu?? Kuna mahali nimeomba hata Mia?? Kama marehemu mwenyewe akiwa hai hakupenda kuw verified why Mimi nifanye hivyo?? Asee ile familia ni tajiri haina shida hata na Mia ya mtu. Na Mimi Wala sio ndugu wa familia Bali ni rafiki tu.
NIKOME.
Nilisoma naye SUA.
Ningeshangaa usingekoment na kureplyKwa kazi yako ya kuosha vikongwe wewe maharage ya mbeya miaka 31 huvuki
Lazima udanje
Alikuwa anafanya kazi AIRTEL?Picha yake nimeshaiweka. Cha muhimu ni kwamba alikuwa mwana JF mwenzetu na alishiriki sana kwenye siasa za upinzani pamoja na Akina mnyika , na wengineo .
Mwaka 1997 aliongoza ule mgomo pale sua akiwa na spika wa bunge lá sua Dr Albanie MarcosNilisoma naye SUA.