ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
R.I.P Straton Mushi
Duh. kweli huyu jamaa nilikuwa nae SUA alikuwa kamanda sana. Hata Marcos Albanie anakumbuka enzi za kunji.Huyo huyo
Alipata uteuzi serikalini?
Mkuu wewe hupajui, hilo ni jina la kijiji katika kata yeti ya Uru Kaskazini.Ni mlawi sio mrawi,wewe sio mchaga bila shaka
Mwambie huyo, Mrawi imepakana na Kitandu, Ongoma, Msuni na upande wa kushoto ni Kibosho Mweka.Mkuu Luambo
Ni MRAWI
Hiki kijiji nakijua vizuri sana!
Labda ni lafudhi tu zimepishana
Mwambie huyo, Mrawi imepakana na Kitandu, Ongoma, Msuni na upande wa kushoto ni Kibosho Mweka.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji120][emoji23]Yaani mfano ungesema ni Jon Stephano kafariki ingenigusa sana kuliko jina la kweli ambalo silijui
Ok sorry nilikuwa nachanganya na Kijiji Cha OLD MOSHI MDAWIMkuu wewe hupajui, hilo ni jina la kijiji katika kata yeti ya Uru Kaskazini.
Naam nilichanganya,nilikuwa namaanisha old Moshi mdawiYou are correct mkuu!
Nakijua sana hicho kijiji!
Luambo nadhani kachanganya na lafudhi labda ya Marangu or somewhere,si unajua lafudhi inabadilika as you move east or west!
Ila Luambo is a very good guy!