Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

Tanzia: Mwana JF Straton Mushi aaga dunia

Hakuna sababu ya kutupa taarifa ya kifo chake kama hutaki kuitaja ID yake, na kama target yako kupata mchango hapa hupati kitu.

Jamani nipate mchango Kwani me ni mama au mke wa marehemu?? Kuna mahali nimeomba hata Mia?? Kama marehemu mwenyewe akiwa hai hakupenda kuw verified why Mimi nifanye hivyo?? Asee ile familia ni tajiri haina shida hata na Mia ya mtu. Na Mimi Wala sio ndugu wa familia Bali ni rafiki tu.
NIKOME.
 
Hebu nisaidieni. Kama hujui id yake wawezaje kujua kama kweli ni yeye marehemu.
Ungeweka id yake tujue alikua mshabiki wa ream A su Sisi a Kimara
 
Mleta mada wewe ndiye umeharibu kwa maoni yangu. Wewe kama unamfahamu, ungemtaja humu kwa ID yake (na kuficha jina lake halisi) maana ndiyo ambayo tungeweza kuji associate nae. Nje ya hapo taarifa yako inakosa impact kwa hapa JF. Hujatutendea haki.

RIP MwanaJF
 
Innallilah wa Innalillah Rajiun..
Apumzike kwa amanii
 
01.JPG


Just googled the name, atakuwa ni huyu i guess
 
Jamani nipate mchango Kwani me ni mama au mke wa marehemu?? Kuna mahali nimeomba hata Mia?? Kama marehemu mwenyewe akiwa hai hakupenda kuw verified why Mimi nifanye hivyo?? Asee ile familia ni tajiri haina shida hata na Mia ya mtu. Na Mimi Wala sio ndugu wa familia Bali ni rafiki tu.
NIKOME.
 
Hebu nisaidieni. Kama hujui id yake wawezaje kujua kama kweli ni yeye marehemu.
Ungeweka id yake tujue alikua mshabiki wa ream A su Sisi a Kimara

Najua ID yake na sitaitaja.

Kanye boga Kama imekuuma sana.......Au njoo Uru tunywe mbege na bia za kutosha. Si unajua misiba ya wachaga.... maana umekomalia hadi basi.
Sikujibu Tena.
 
Back
Top Bottom