Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,193
Aisee hawa watoto wapewe counseling usikute stress za mapenzi au kavagaa dege la jeshi baada ya kwenda kupima.Na week hii kuna dent naskia kajiua wa sua..mazishi moshi
Aisee hawa watoto wapewe counseling usikute stress za mapenzi au kavagaa dege la jeshi baada ya kwenda kupima.Na week hii kuna dent naskia kajiua wa sua..mazishi moshi
Asa mimi nikifa sijui mdogo wangu utajuaje!???Na wewe ukifa mimi nitajuaje!???Aiseee wee GT
Kwa trend ya wahamiaji Ulaya possibility ya kufa kwa ugaidi ni kubwa!Aiseee mkaldayo ndio kwanza am rapidly approaching 30. Anza kuhesabu baada ya miaka 30. Kwasababu ulaya LAZIMA ufikishe 60
Na week hii kuna dent naskia kajiua wa sua..mazishi moshi
Nakusalimia!
Wewe ukileta habari za SUA siwezi kubisha!
Huyu wamesema alisoma SUA na sio Mwanafunzi wa SUA
Kumexpose kwa Id fake how??Kuna umuhimu mkuu. Kuna umuhimu kwa sababu ametoa Jina lake halisi na sehemu ya mazishi. Walio karibu watajua huyu ni member mwenzetu. Na walio mbali watatoa salam za rambirambi hapa hapa jukwaani. Kama mtu hakutaka kujianika akiwa hai basi anapofariki siyo vizuri kum'expose
najua kinachofanya watu wengi wadai picha au utambulisho wa marehemu ni tatizo la kisaikolojia zaidi (aina ya ugonjwa wa akili) na siyo kuwa wamehuzunika sana. Haya ndiyo madhara ya kukulia sehemu duni kimaisha. Anyway ni somo refu na mimi sina muda wa kukuelewesha.Kumexpose kwa Id fake how??
Nakusalimia!
Wewe ukileta habari za SUA siwezi kubisha!
Huyu wamesema alisoma SUA na sio Mwanafunzi wa SUA
Mimi nipo ongomaNajua ID yake na sitaitaja.
Kanye boga Kama imekuuma sana.......Au njoo Uru tunywe mbege na bia za kutosha. Si unajua misiba ya wachaga.... maana umekomalia hadi basi.
Sikujibu Tena.
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwataarifu msiba wa mwana JF mwenzetu bwana Straton Mushi aliyefariki mapema wiki hii baada ya kuugua muda mfupi. Mwili wa marehemu uliagwa Jana nyumbani kwake Salasala Dar Es salaam na badae kusafirishwa kuelekea Moshi- Uru Mawela kanisani kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika kesho jumamosi hapo hapo Mawela.
Marehemu atakumbukwa kwa upendo wake na harakati za kupigania haki bila kuogopa.
Poleni wana JF, wafanyakazi wote wa airtel na wanafamilia.
Kwa watakaoweza kwenda msibani Kama upo Moshi mjini Nenda stendi kuu panda magari yanaoenda uru halafu Shuka mawela kanisani hapo hapo kushoto kwako Ndio penye msiba. Kama unatumia usafiri binafsi basi ukifika Mawela kanisani ukiulizia kwenye msiba utaoneshwa bila wasiwasi.
Bwana alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe.
View attachment 1269118