Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Ni matumaini yangu kwamba wote ni wazima wa afya.
Nimepata taarifa asubuhi ya leo kwamba mwana JF mwenzetu Jeska amefiwa na mama yake mzazi huko Bukoba hapo mnamo tarehe 21 May 2014 na amekwishaondoka kwenda Bukoba kuhudhuria mazishi ya mama yake.
Ukweli ni kwmaba nilichelewa kupata hizo taarifa kwa sababu na miye nilikuwa nje ya mkoa na huko nilikokuwa network ilikuwa inasumbua na ndiyo sababu nikachelewa kupata taarifa. Naamini mama yetu atakuwa ameshapumzishwa kaburini na siye kama familia tumuweke mwana JF mwenzetu Jeska katika maombi.
Kwa sasa najaribu kumtafuta mtandaoni simpati nadhani inaweza kuwa ni network maana sijajua ni Bukoba sehemu gani, lakini nitakapopata taarifa zaidi nitawajulisha.
Raha ya Millele Umpe Ee Bwana Na Mwanga wa Milele umuangazie, Apumzike kwa Amani.
Amina.
CC:
Kaizer, Paloma, Ennie, Lisa, Ruttashobolwa, Asprin, KakaKiiza, Maxence Melo, gfsonwin, cacico, Bujibuji, Kiranga, Nyani Ngabu, The Boss, BADILI TABIA, snowhite, Fixed Point, Nivea, Tina, lara 1, King'asti, Mwita Maranya, charminglady, Asnam, Elizabeth Dominic, Arushaone, Nicas Mtei, Munkari, MankaM, Heaven on Earth, Asprin, Filipo, Preta, Mungi, Don Mangi, Lady doctor, mayenga, mwekundu, figganigga. Samahani nimewataja wachache lakini naamini wote kwa pamoja ujumbe huu utawafikia
Nimepata taarifa asubuhi ya leo kwamba mwana JF mwenzetu Jeska amefiwa na mama yake mzazi huko Bukoba hapo mnamo tarehe 21 May 2014 na amekwishaondoka kwenda Bukoba kuhudhuria mazishi ya mama yake.
Ukweli ni kwmaba nilichelewa kupata hizo taarifa kwa sababu na miye nilikuwa nje ya mkoa na huko nilikokuwa network ilikuwa inasumbua na ndiyo sababu nikachelewa kupata taarifa. Naamini mama yetu atakuwa ameshapumzishwa kaburini na siye kama familia tumuweke mwana JF mwenzetu Jeska katika maombi.
Kwa sasa najaribu kumtafuta mtandaoni simpati nadhani inaweza kuwa ni network maana sijajua ni Bukoba sehemu gani, lakini nitakapopata taarifa zaidi nitawajulisha.
Raha ya Millele Umpe Ee Bwana Na Mwanga wa Milele umuangazie, Apumzike kwa Amani.
Amina.
CC:
Kaizer, Paloma, Ennie, Lisa, Ruttashobolwa, Asprin, KakaKiiza, Maxence Melo, gfsonwin, cacico, Bujibuji, Kiranga, Nyani Ngabu, The Boss, BADILI TABIA, snowhite, Fixed Point, Nivea, Tina, lara 1, King'asti, Mwita Maranya, charminglady, Asnam, Elizabeth Dominic, Arushaone, Nicas Mtei, Munkari, MankaM, Heaven on Earth, Asprin, Filipo, Preta, Mungi, Don Mangi, Lady doctor, mayenga, mwekundu, figganigga. Samahani nimewataja wachache lakini naamini wote kwa pamoja ujumbe huu utawafikia