Kaka madenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2021
- 313
- 572
Kocha wa majogoo huko Merseyside .jurgen klopp amefiwa na mama yake mzazi Elizabeth na corona ndo imemuondoa duniani.
Mama huyo wa miaka 81 hatoweza kuzikwa na mwanae kwani kumewekwa makatazo baina ya nchi hizo mbili (German na England) kusafiri.
Hivyo jk hatoweza mzika mama yake.
Mama huyo wa miaka 81 hatoweza kuzikwa na mwanae kwani kumewekwa makatazo baina ya nchi hizo mbili (German na England) kusafiri.
Hivyo jk hatoweza mzika mama yake.