mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,835
- 106,041
Kweli kabisarest in peace,
i know kwa daktari kama wewe ni adimu sana.
kazi ya neurologist ni ngumu sana hata ukiisomea utasoma miaka mingi kuliko wote.
Ova
Kweli kabisarest in peace,
i know kwa daktari kama wewe ni adimu sana.
kazi ya neurologist ni ngumu sana hata ukiisomea utasoma miaka mingi kuliko wote.
Dr Lemi ongala ,kifo hakina huruma ,toa taarifa ili niageUnaseka na mavitabu usku kucha, kujituma, end of the day unakufa kifo kuwa na huruma Basi hii dunia hamna ambae atajua kuifaidi coz UNAWEZA ukatafuta alafu ukapata ukafa na kufa
Mkuu chukua self defence zinazokuhusu kama mwanadamu mwenye akili timamu yaliyojuu yako mwachie mola. Sio unalewa chakali halafu unaendesha chombo cha moto hio ni sawa na kujitakiaR.I.P..Umauti nikiufkiria sana nakonda kabisa..
Apumzike kwa amanMwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando
View attachment 1821993
Mungu Mkubwa! Ni wataalamu wachache wenye fani yake, lakini Mungu kamuita.Mwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando
View attachment 1821993
Mungu amrehemu. Ampumzishe kwa amani. Unaposema utasoma miaka mingi kuliko wote wamaanisha nini na wapi? Badirisha huyo mtazamo wa kibongo. Kuna kozi nyingi tu za subspecialty ambazo waweza zisoma muda mrefu sawa na zaidi ya neurosurgery.rest in peace,
i know kwa daktari kama wewe ni adimu sana.
kazi ya neurologist ni ngumu sana hata ukiisomea utasoma miaka mingi kuliko wote.
Unaseka na mavitabu usku kucha, kujituma, end of the day unakufa kifo kuwa na huruma Basi hii dunia hamna ambae atajua kuifaidi coz UNAWEZA ukatafuta alafu ukapata ukafa na kufa
Mkuu hapa hadhi ya R.I.P uliotumia ya MWENDAZAKE ina kasoro ungetumia Marhemu tu, kwasababu hadhi hiyo sasa tumemtunuku mpendwa wetu Mtukufu jpm tu.Mwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando
View attachment 1821993
Fikiria katika kipindi kifupi cha maisha yake Mungu ametumia mkono wake kuokoa maisha ya wangapi? Usihesabu miaka ya watu kuishi duniani bali hesabu michango ya watu hao duniani. Mchango wa mtu duniani ni multiplying factor kubwa sana kwenye umri wake hapa duniani.Unaseka na mavitabu usku kucha, kujituma, end of the day unakufa kifo kuwa na huruma Basi hii dunia hamna ambae atajua kuifaidi coz UNAWEZA ukatafuta alafu ukapata ukafa na kufa
Nikifikiria kuna kufa naona bora nitafute hela ya kula tu na pango kinachobakia nile burudani tu! Unaparangana kisha unadanja
Ni huzuni sanaUnawaza kama mimi Mkuu, kuna muda kabisa huwa nikiwaza sana naenda Bar nakunywa zangu Heiken then narudi nalala maana si uchungu nilionao.