Tumeshaanza kuzoea ironic rules hakuna kipya na hakuna cha kuogopa kwa vile tumeshajua ni serikali ya aina gani, wanaogopa ni wale wanadhani bado tuna serikali ya kidemokrasia, serikali ya kidikiteta haihitaji kanuni wala sheria inapohitaji kunyonga uhuru wowote.
Hayo anayataka yeye mwenyewe, hao wasaidizi/ washauri hawana lawama. Hapangiwi ila anapanga kila kitu, kwa kutoa amri tu.hivi wanaomshauri Rais ni watu gani????
kwa nini wanamuweka Rais wetu kwenye vulnerable position kila siku?
ujinga watunge wao gizani,Rais ndio aje nayo kwenye media kudhalilika,
kwa nini nyie mnaomshauri Rais msikazanie kumuweka CLOSE na wananchi wake......?
kila siku baada ya speech ni another day ya 'matamko' kama sipangiwi etc,sasa hii inaleta picha gani??hamuoni mnaweka image ambayo inamuweka DISTANT na watu wake??
Mwisho,mkuu rais,kama kuiga tusiige mavazi tu kutoka amerika,tuige na freedom of speech,trump waliweka yale mamidoli makubwa,na Trump hakuwafunga,internet inakua kila siku kupigana nayo,ni kupigana na upepo.wastage of time and resources..................................
Besides,unafaidika na hii mitandao,ila its reality,you cant have the best of both worlds.
Dalili kubwa ya UDIKTETA hii inataka kulikumba Taifa letu pendwa.
GOD Forbid!
Nyerere hakuwataka wote kuwa Marais wa Tz, tumepuuza, sasa tunapata madhara yake.Kibisa vita ya kikwete na lowasa imezaa hili dude
Nakubaliana nawe. Kama yeye ni mpigania wanyonge, na wanyonge wenyewe ndio sisi wananchi, kwa nini kutaka kila jambo lifanyike airing ili sisi wanyonge tusijue kinachoendelea?Hii serikali ya Magufuli lazima itakuwa serikali ya kifisadi.
Haiwezekani serikali ambayo inajinadi ya wanyonge inayotamba kupambana na rushwa na ufisadi ikawa inatumia nguvu nyingi kuminya uhuru wa wananchi wake kusema na kujieleza, uhuru wa kujumuika kwa kutunga sheria kandamizi, kujitoa kwenye forum ya open government, kuminya habari. Inawaficha nini wananchi wake?
Huu usiri wa serikali ya Magufuli kwa watanzania ni wa nini kama kweli yeye anapambana kwa ajili ya watanzania.
Yasije kutufika ya LissuPoa tu,kabla hujazungumza ni lazima ufikiri kwanza..kwanini ujifiche kama unajua unachosema?
Kweli wamedhamiria
Halafu kuna baadhi ya kanuni humo zinapingana moja kwa moja na vipengele vya katiba
Also this is a fruitless endeavour, NO-ONE has ever tried to control the internet and won, not now not ever
Kwa hali inavyoendelea, nadhani ni muda muafaka Jamiiforums wawe na warrant canary na waanze kupublish transparency reports
Hicho ndo kmebaki, watu najua kukaa kimya sio desturi zetu watz so kuongea hatuwez acha ukubwan leo wkt tokea utton watu walkuwa wanaongea, kuhusu mahakaman ngoja tusubr TL arudi kwnza najua hzo sheria ztapanguliwa tu kwa hoja,,, Mfalume JuhaIts easy, tutakuwa unaanza na kusema HABARI HII NI YA KUFIKIRIKA....Kisha mtu unatiririka kwa kutumia majina ya kufikirika kama Bashite, Pombe, etc
Hilo ni swala ambalo haliwezekani! Mbona wao fact zimewashnda kuandika? Au na wewe unakubali hilo swala la sukari?Soma vyema mkuu. Hutaruhusiwa kuandika kitu cha kufikirika. Zinatakiwa facts tu