Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,583
- 1,800
Jamani mnaojua mambo ya mitandao hivi wataweza kudhibiti hata mtandao wa facebook?
Hao walioshindwa kutumia uhuru vizuri ndio wanaponza na wenzao...sidhani kama kuna nchi Africa ina vijana wenye matusi kama Tz...natembelea blogs za Nigeria...watu wana staha...si wabongo aisee...Tutafika, ila kama wapenda kutukana watu kama yule dada wa Instagram lazima sheria ikunyooshe na uadabike kabisa..
Hahahaha. Sheria ni msumenoTutafika Mkuu.Wanaoweka hizo sheria wa nadhani watakuwepi madarakani Maisha.Sheria hizo hizo zitakuja kuwabana wao wenyewe.Muda ni dawa.
Mtoto akililia wembe mpe
Hahahaha. Sheria ni msumeno
Kwann umeuliza khs mwanza na mbeyaKibatala yupo,
Hivi mwanza na mbeya huwa kuna mawakili?
Maana mawakili wenye nguvu,uthubutu ni Dar na Arusha
Hizi kanuni za kupiga chini mahakamani kwanza kwa kuzizuia zisifanye kazi,pili kufungua kesi ya kikatiba
Mambo mengi tunayoyajua yalianza kama habari za kufikirika,
Kuzuiwa kwa bombadia na wanaotudai ni mfano mzuri,serikali kukopa dola milioni 500 kwa riba ya dola milioni 400,ilianza kama tetesi,kutekwa kwa Roma,Ney wa Mitego
Hizi loophole wanataka kuziziba
Na kwamba habari ifutwe ndani ya masaa 12,Roma ilichukua zaidi ya siku mbili kwa bashite kusema atamleta!!!!! Sasa ukiifuta hiyo habari inakuwaje?