Tanzania: The Electronic And Postal Communications (Online Content) Regulations, 2017

Tanzania: The Electronic And Postal Communications (Online Content) Regulations, 2017

Wadau tukaze buti hawa washalegea, bado kidogo tunawasukumia mbali wasiwepo wapotee kama lilivyokufa na kupotea azimio LA Arusha na siasa za ujamaa na kujitegemea.fisiemu GO fisiemu GO.
 
James Hadley Chase aliwahi kuandika novel moja kwa jina la the guilty are always afraid. Hawa wa jomba zangu wanachoogopa ni nini?
 
Mwisho atakuwa anaongea mwenyew.Yetu macho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24]
Kweli wamedhamiria

Halafu kuna baadhi ya kanuni humo zinapingana moja kwa moja na vipengele vya katiba

Also this is a fruitless endeavour, NO-ONE has ever tried to control the internet and won, not now not ever

Kwa hali inavyoendelea, nadhani ni muda muafaka Jamiiforums wawe na warrant canary na waanze kupublish transparency reports
 
You are now entering Rwanda. Don't criticize anything.
 
Tutafika Mkuu.Wanaoweka hizo sheria wa nadhani watakuwepi madarakani Maisha.Sheria hizo hizo zitakuja kuwabana wao wenyewe.Muda ni dawa.

Mtoto akililia wembe mpe
Kwa hiyo waogope kutunga sheria kwa sababu tu ipo siku hawatakua madarakani?..
 
Jamaa anataka kutawala milele sio bure kwa kiongozi anaetaka kutawala kwa mujibu Wa sheria na katiba ya Nchi hawezi kusimamia vitu vya kijinga na kuwa ndio msingi wake...
 
sheria kuhusu maudhui ya mitandaoni lazima ziwepo.mitandao inatumika na watu wa rika mbalimbali.utajisikiaje pale unapo tazama kitu na mzazi wako then ghafla unakumbana na matusi ya nguoni yaliyoa andikwa?Pia maudhui ya kupotosha yamekuwa mengi sana.lazma kila mtu awe accountable kwa kila anachoandika.Kuna nchi zenye sheria kali kuhusu makosa kama haya.Tembelea China ndo utajua ninamaanisha nini.Hakuna inmstagram,twitter,youtube,snapchat,kwa sasa hadi whatsApp.sababu kuu ni serikali ilitaka kusense maudhui yote yanayo andikwa na watu wake lakin makampun hayo yaligoma kutoa data.social media maarufu sana China kwa ommunication ni wechat.ila serikali ishatangaza kusense content zake zote,na wametoa notification kutokuandika mambo ya serikali in negative way.Bila kuwa na sheria ngumu hasa waafrika kamwe hatuwez kuendelea.
 
78df189afe322444cae6f18328f75581.jpeg


Huyu kwanini mlimuandama kama mnataka huo uhuru?😀
 
HELLO JF,

leo nina ombi kwenu hasa wale wanasheria,

sijui hio sheria mpya ,ya mtandao ipoje

ila kutokana na kuskia kwa watu,ikipita hatutakuwa free humu,na uanonymity unaisha .........

kwa kifupi,jukwaa litapwaya,

sasa tusign petition,

kupinga unyang'anyi wa uhuru wetu

hili Jukwaa linahitajika sana,

mengi tumeshauri kama members ,na yamefanyiwa kazi,

kwa yale maovu ya serikali yaliyoibuliwa humu gharama yake sio kutufungia JF,

jukwaa unalipenda na unalitumia ila ukipewa za uso mnaanza kuweweseka

Mkuu Rais'you can not eat your cake and still have it'.............
 
wakuu habarini za asubuhi hii ya leo, kutoka instagram nimekutana na hii habari ya kushtusha aisee yasije tu kutukuta ya china kwa hali hii..hivi na wakifungia kweli si makampuni ya simu yatapata hasara kwa kiasi fulani? Mawazo yenu wakuu..
c881971f024ad4fd4adb000a105b4de0.jpg
 
Hata Russia nasikia kuna uwezekano kufungia Facebook by 2018.Huku kwetu nahisi watafunga yote kwa kigezo cha HAPA KAZI KWANZA
 
Hata Russia nasikia kuna uwezekano kufungia Facebook by 2018.Huku kwetu nahisi watafunga yote kwa kigezo cha HAPA KAZI KWANZA
Hatar kweli mkuu unakua mtumwa ndani ya nchi yako
 
Back
Top Bottom