Tanzania: The Electronic And Postal Communications (Online Content) Regulations, 2017

Tanzania: The Electronic And Postal Communications (Online Content) Regulations, 2017

Tushazioea hizi sheria:ilianza ya makosa mtandaoni tukasurvive ikapita,ikaja ya takwimu ikapita,ikaja ya vyombo vya habari tukasurvive...ikaja ya mawasiliano mpaka leo tunadunda!
Leteni na hii tutasurvive tu!
Ukiziba njia mmoja,Mungu anafungua nyingine!
Sheria ni ile ile hizi ni kanuni tui...
 
Internet inafungwa mitaani nchi nzima na serikali inakuwa na Internet hosting station yao.

Kwa hiyo hujui unachoongea.
Dawa hakuna mahospitali mnafunga internet nchi nzima! Seriously ??!!! what a big joke! Hebu fanyeni maendeleo kwa wananchi acheni kukimbizana na kutafuta ubaya na wananchi. North America Europe hawana hili ninyi ndio mtaweza? Acheni kutisha na kudanganya watu. Nchi zilizoendelea internet access zipo kwenye mall, migahawa, Hotel etc. eti tutafunga internet nchi nzima what a crap!
 
Ujinga sana hili taifa,
Wakitoka hizo sheria zitawala hata wao
 
Kanuni za kuwabana wakosoaji wa serikali, hamna lolote..

Hamna atakayekaa kimya.

Hakuna anayeajiri mtu halafu akae kimya asimhoji kila hatua za utendaji wake!
 
Ukifuatilia nchi nyingi raia waliamua kufanya Mapinduzi na kuondosha tawala zilizo madarakani ni Sheria kali kunywa raha ya kujiachia na uhuru kamili, na kodi nyingi haswa zile za ajabu ajabu... na Most of the Time Watawala huwa wanajisahau as if watakuwepo Madarakani Milele.. na wakishatoka hujuta sana kama Nape
 
Sheria ni cyber crime act na hizo ni kanuni tuu...kwa hiyo hicho si kipya...hiyo sheria ilishapitishwa toka 2015 kwa hiyo usijaribu kufanya kama ni jambo jipya...

Mkuu, uelewe vema. Hizi kanuni ni za EPOCA Cap 306 wala sio Cyber.


Kwanza, mamlaka zinajichanganya sana katika hili. Naamini kuna mtu anataka kitu lakini hajaelewa anataka akifikieje na huenda wanachotaka kukifikia wameshakifikia ila hawajabaini kuwa wanacho tayari.

We have a problem
 
Hii serikali ya Magufuli lazima itakuwa serikali ya kifisadi.

Haiwezekani serikali ambayo inajinadi ya wanyonge inayotamba kupambana na rushwa na ufisadi ikawa inatumia nguvu nyingi kuminya uhuru wa wananchi wake kusema na kujieleza, uhuru wa kujumuika kwa kutunga sheria kandamizi, kujitoa kwenye forum ya open government, kuminya habari. Inawaficha nini wananchi wake?

Huu usiri wa serikali ya Magufuli kwa watanzania ni wa nini kama kweli yeye anapambana kwa ajili ya watanzania.
 
Na kama hivi yule mwenye uthubutu wa kutoka hadharani kutuhabarisha ubaya wa mambo kama haya keshapigwa risasi yuko hoi hospitalini. Nani wa kutusemea? Job naye kauza taasisi yake kwa mhimili mwingine. Tutaponaje?
Yupo Mungu mwenyewe mkuu , shaka ondoa , huyu aliyeleta hili aitwaye Ngonyani unakijua kilichomkuta ? Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Haya bwana.

Huo muda na rasilimali zilizotumika kudraft huo upupu wangeutumia kutafakari namna ya kuondoa shida ya maji na huduma za afya nchini.
 
Uzuri ni kwamba China tried, but later on they proved failure. Akitaka haya waanze kwanza na rais mwenyewe. Kauli zake ni mbaya hazina heshima na hasa pale anapokashifu raia wakasahau sisi sisi ndio tuliunga folen kumpigia kura.
 
Tutaona atakae kamatwa na sisi tunajiimarisha kiusalama za id katika mtandao na wao wajiandae na email zao(both)
 
Wameona sheria ya mtandao haitoshi wakaamua waweke na hii...Kweli sirikali ni nyundo na wanatuona sisi ni misumari.
Nakumbuka kuna shujaa alishawahi kusema wakiMaliza kwetu watakuja na kwenu na kwa wengine na kwa wengine.....
 
Mkuu serikali hawawezi kuwa na internet hosting station, at most watakuwa na monitoring site ambapo watakuwa wana-monitor all the internet traffic coming in and out of the country, pia labda when the time comes they'll put up a firewall ambayo ita-block certain sites from being accessed in the country...

That's what China has, na ndo nchi inayoongoza kwa internet censorship, lakini all that can be circumvented through a VPN. Na China wameshindwa kuzuia hiyo, that's why ni ngumu sana kucontrol the internet fully, kwasababu utazuia upande fulani, wenzako wakatoka kwa njia nyingine
Hilo la kublock website sidhani kama lina make sense. Labda kwa mashirika ya uma. Kuna shughuli za watu binafsi ambazo huwezi kuwa limit. Labda, useme Ku monitor traffic. Hata hivyo there would have to be a law that would bind all ISP. Hata hivyo kuna techniques za Ku ensure end to end encryption. Still ni changa moto
 
Back
Top Bottom