hivi wanaomshauri Rais ni watu gani????
kwa nini wanamuweka Rais wetu kwenye vulnerable position kila siku?
ujinga watunge wao gizani,Rais ndio aje nayo kwenye media kudhalilika,
kwa nini nyie mnaomshauri Rais msikazanie kumuweka CLOSE na wananchi wake......?
kila siku baada ya speech ni another day ya 'matamko' kama sipangiwi etc,sasa hii inaleta picha gani??hamuoni mnaweka image ambayo inamuweka DISTANT na watu wake??
Mwisho,mkuu rais,kama kuiga tusiige mavazi tu kutoka amerika,tuige na freedom of speech,trump waliweka yale mamidoli makubwa,na Trump hakuwafunga,internet inakua kila siku kupigana nayo,ni kupigana na upepo.wastage of time and resources..................................
Besides,unafaidika na hii mitandao,ila its reality,you cant have the best of both worlds.