boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 5,807
- 4,224
Hii ndo vita ya Uchumi anayopigana kila siku
Hivi wamefikiria kuhusu cause and effect ya hichi wanachofanya, unapozuia/limit wananchi ku-vent kuhusu frustration zao( hapa nazungumzia frustrations ambazo zipo caused na mambo ya kisiasa, which is just about everything in this country).Dalili kubwa ya UDIKTETA hii inataka kulikumba Taifa letu pendwa.
GOD Forbid!
Mkuu hizi Ziko chini ya sheria ya "cyber crime Act"Hizi ni regulations zisizo na sheria. Labda tuwaulize wanasheria what this means maana naamini haziendi Bungeni na zitaanza kutumika juu kwa juu