[emoji1][emoji1]mkuu na iyo avatar ya jeska,,utakua wa kwanza kufungiwa hahaa,,hivi vpn inafanyaje kazi? Na bundles sasa si zitakua haziinclude mbs kwa styl hiyo au wataeza punguza mbsWao si wakwanza duniani tutatumia VPN Holland...utawala wa kidikteta haujawahi kufanikiwa duniani
Adi 2020 tutanyookaHata wakifunga mkuu,tutazama kama kawaida hadi watakuja kuachia wenyewe,ondoa shaka mkuu
Hapana mkuu mbona VPN Holland yenyewe ni free jaribu Leo kudownload na pitia humo kwenda Insta au facebook na harisha tusi lolote na kwa mtu yoyote na utakuwa salama..... na kwa usalama zaidi kuna vpn key security ni app ambayo itazuia program zote za serikali kuweza kuku ban kwa kutumia mitambo yao wanayotegemea kuifunga na kuanza kuicontol mitandao yote yakijamii....china iran na urrussi ndo kimbilio lao wapenda demokrasia na haki za binaadam...[emoji1][emoji1]mkuu na iyo avatar ya jeska,,utakua wa kwanza kufungiwa hahaa,,hivi vpn inafanyaje kazi? Na bundles sasa si zitakua haziinclude mbs kwa styl hiyo au wataeza punguza mbs