Tanzania: The Electronic And Postal Communications (Online Content) Regulations, 2017

Hatimaye malaika wameshuka!

Hivi hawa watu hawajaguswa na upuuzi anaozungumzazungumza rais Magufuli wakamtungia kanuni za kuongea? Au sheria inaelekea upande mmoja tu!

Malaika wa mitandao ameshuka rasmi! Ombi la Dikteta John Pombe Magufuli limejibiwa haraka!
 
Hapo ndipo uwezo wa maprofesa wa Tanzania ulipoishia. Kuna maprofesa na madokta wa Tanzania, ni aheri tusingekuwa nao. Uwepo wao ni hasara kuliko faida.

Ukiwafuatilia utagundua hakuna chochote walichowahi kukifanya cha kuisaidia nchi, na jamii ya Dunia nzima. Wanachojua ni kukariri yaliyogunduliwa na wasomi wa mataifa mengine, na kujipendekeza kwa watawala.
 
Hizi nguvu wangewekeza kwenye mikataba ya madini, gesi na maliasili nyingine. Nchi ingefika mbali sana.
Tatizo waziri mwenyewe wa sheria kashikwa masikio, anaendeshwa tu.

Badala ya kuandaa sheria thabiti kwa mambo muhimu yenye maslahi ya taifa, wao wanapambana na wananchi wasitoe maoni , wananchi wafungwe midomo wakati wazungu wanazidi kutuibia kila kukicha.

Nilikuwa namdharau Mwakyembe lakini huyu wa sasa ndio ndondocha kabisaa.
 
Hahah Web ni lidubwasha kuuubwa sana kulicensor ni ngumu kweli!. The more watajaribu kucensor the more people will try to go anonymous!

Wachina kupitia firewall yao wameblock Facebook na youtube lakini watu wanaingia kama kawaida.
 
Soma vyema mkuu. Hutaruhusiwa kuandika kitu cha kufikirika. Zinatakiwa facts tu
388dd5f3912733cd1cf249694be6c367.jpg
 
Kweli wamedhamiria

Halafu kuna baadhi ya kanuni humo zinapingana moja kwa moja na vipengele vya katiba

Also this is a fruitless endeavour, NO-ONE has ever tried to control the internet and won, not now not ever

Kwa hali inavyoendelea, nadhani ni muda muafaka Jamiiforums wawe na warrant canary na waanze kupublish transparency reports


Internet inafungwa mitaani nchi nzima na serikali inakuwa na Internet hosting station yao.

Kwa hiyo hujui unachoongea.
 
Hatimaye zimekuja kuna mtu huku alisema a law without rules sio sawasawa okee hizo apo kazi iendelee.
Hizi ni regulations zisizo na sheria. Labda tuwaulize wanasheria what this means maana naamini haziendi Bungeni na zitaanza kutumika juu kwa juu
 
Internet inafungwa mitaani nchi nzima na serikali inakuwa na Internet hosting station yao.

Kwa hiyo hujui unachoongea.
Mkuu serikali hawawezi kuwa na internet hosting station, at most watakuwa na monitoring site ambapo watakuwa wana-monitor all the internet traffic coming in and out of the country, pia labda when the time comes they'll put up a firewall ambayo ita-block certain sites from being accessed in the country...

That's what China has, na ndo nchi inayoongoza kwa internet censorship, lakini all that can be circumvented through a VPN. Na China wameshindwa kuzuia hiyo, that's why ni ngumu sana kucontrol the internet fully, kwasababu utazuia upande fulani, wenzako wakatoka kwa njia nyingine
 
Coward president, coward government, coward officials, coward ministers, fooled and blinded his followers and supporters...

What a deep sorrowful reality for our mother land.... Machoni kama watu mioyoni hawana utu kumpatiliza kila mkosoaji...

Serikali mufilisi iliyofilisika mu kichwa inaomba huruma ya jeshi Kukimbilia risasi kuwashoot raia wake ambao ni armless...
 
Back
Top Bottom