Tanzania safari Chaneli boresheni habari zenu; Mnaonesha utumbo mwingi sana kuliko ubunifu

Yes maboresho muhimu,, Mimi kitu ninachoona kinahitaji maboresho kinao ekana ni kidogo lakini kinamaana,"background sound" Mimi nadhani background sound inapaswa iwe ya kuchangamsha na kuvutia, tutazame hata za huko nje background sound zinavyokuwa na vibe,, unajua documentary inaweza kuwa nzuri ila background sound Ikiwa Kama inahuzunisha hivi, unaweza acha kuendelea kuitazama.
Habari ya simba wanaweka nyimbo za masai
 
Jamaa wanashindwa hata na yule jamaa wa ITV wa kipindi cha Chetu ni chetu jamaa anafanya vizuri anatembea kila pande kutafuta Habari, tatizo la hao jamaa ni uvivu kila siku mambo ni yaleyale
 
Wabadilishe hao ma guide hawana facts alafu stori zilezile kila siku, tokea lini ndege akawa kwenye food chain ya mamba eti kisa mda mamba anapoacha mdomo wazi na wale ndege wanaoenda pale na kuingia mdomoni kwamba ni mtego.. nilishangaa sana nakuzim tv adi leo siangalii safari chanel hawajui kuhusu wild life hao watangazaji.
 
Wabadilishe hao ma guide hawana facts alafu stori zilezile kila siku, tokea lini ndege akawa kwenye food chain ya mamba eti kisa mda mamba anapoacha mdomo wazi na wale ndege wanaoenda pale na kuingia mdomoni kwamba ni mtego.. nilishangaa sana nakuzim tv adi leo siangalii safari chanel hawajui kuhusu wild life hao watangazaji.
Daah
 
Wabadilishe hao ma guide hawana facts alafu stori zilezile kila siku, tokea lini ndege akawa kwenye food chain ya mamba eti kisa mda mamba anapoacha mdomo wazi na wale ndege wanaoenda pale na kuingia mdomoni kwamba ni mtego.. nilishangaa sana nakuzim tv adi leo siangalii safari chanel hawajui kuhusu wild life hao watangazaji.
Mi mshahara wangu upo pale pale hata akiangalia mtu mmoja.
 
Wabadilishe hao ma guide hawana facts alafu stori zilezile kila siku, tokea lini ndege akawa kwenye food chain ya mamba eti kisa mda mamba anapoacha mdomo wazi na wale ndege wanaoenda pale na kuingia mdomoni kwamba ni mtego.. nilishangaa sana nakuzim tv adi leo siangalii safari chanel hawajui kuhusu wild life hao watangazaji.
Hahaha
Sema akya Mungu
 
Wajifunze kwa channel kama netwild...mana bado wapo nyuma sana..kamera sinatoa picha nyeusi..kama ni maporomoko ya maji wanaweza onesha jinsi maji yanavyomwagika kipindi kizima..

Bado kuna mengi ya kurekebisha.

#MaendeleoHayanaChama

Alafu wanapenda rudia rudia vipindi mpaka inakera, wakati tuna vivutio kibao nchini. Natgeo wild wako vizuri sana
 
Tz ni nchi ya pili duniani kwa kuwa vivutio vingi vya kitalii hasa wild life lakin watangazaji wetu nothing
 
Waandishi wanatakiwa waende 'site'/ mbugani mara kwa mara ili kutengeneza vipindi vipya; nadhani tatizo itakuwa ni bajeti
 
Hata mkiboreka, sisi mshahara wetu upo palepale. Wameacha kurudia vipindi?
UMENENA MKUU.

Hiyo ni mali ya umma na hao ni wafanyakazi wenye uhakika na mshahara hata wasipotoa quality product wao wana uhakika wa kuishi na mikopo ya kufanya mambo makubwa.

Hapo walipo wanasubili ile ROYAL TOUR film itoke, yaani watatangaza kila dakika kuwa wanairusha siku gani na saangapi 🤣🤣 ahahahaaa, ni kwa sababu hakuna mtu mwenye uchungu au budget ya kwenda kuandaa vipindi inatoka ila inapigwa juu kwa juu.

Walinunuliwa (kama sikosei) mpaka zile rand cruiser za kitalii kwa ajili ya hiyo chanel but soon zitaozea pale tbc bamaga, haya camera za kwendea field ndizo hizo wanakodishiwa watu wa harusi nk 😇!!.

What's next?.
 
enzi za utotoni kulikua na sinema za wanyama amazing tukadhani ni mbuga za huko majuu kumbe zetu hapa ila hatuna ubunifu tu
 
Back
Top Bottom