Tanzania limejitokeza tabaka la "wenye nchi" ambao wanaona hawastahili kuendesha gari kwenye foleni na wana haki ya kutofuata sheria za barabarani

Leo pale Mbezi Temboni sijui ndiyo wanamuita CDF au mkuu wa majeshi alikuwa anapita asubuhi tukiwa tunasubiri taa ziruhusu aisee wale MPs ni totally crazy,jamaa wanagonga gonga body hovyo gari inayoongoza msafara iko mbio aliyopanda huyo jamaa iko mbio

Halafu ni kwenye mataa,vitu vya ajabu kabisa.
Wanasema ndio ukakamavu wenyewe huo🤣😂
 
Leo pale Mbezi Temboni sijui ndiyo wanamuita CDF au mkuu wa majeshi alikuwa anapita asubuhi tukiwa tunasubiri taa ziruhusu aisee wale MPs ni totally crazy,jamaa wanagonga gonga body hovyo gari inayoongoza msafara iko mbio aliyopanda huyo jamaa iko mbio

Halafu ni kwenye mataa,vitu vya ajabu kabisa.
Jeshi wakati wote wako kazini wawe polisi,JWtZ nk wapishe waweza Kuta wanawahi vita au mahali Kuna tukio wakikaa nyuma Yako kumbe mbele Kuna majambazi yanapora watu Kwa silaha

Wewe utakuwa Sio raia mwema utakuwa jambazi
 
Jeshi wakati wote wako kazini wawe polisi,JWtZ nk wapishe waweza Kuta wanawahi vita au mahali Kuna tukio wakikaa nyuma Yako kumbe mbele Kuna majambazi yanapora watu Kwa
silaha
Wewe utakuwa Sio raia mwema utakuwa jambazi
Hakuna anayekataa ila usalama kwanza,kama hoja ni hiyo basi waongeze umakini.

Kupita traffic lights gari ikiwa speed zaidi ya hamsini kwa madai mnawahi majambazi sijui vita (na bora hata wawe kweli wanawahi hiyo vita) hiyo siyo dharura huo ni uhuni,inajulikana kabisa asubuhi barabara zipo busy ila wao ni mbio mbio je wakigonga mtu wakauwa?
 
Hakuna anayekataa ila usalama kwanza,kama hoja ni hiyo basi waongeze umakini.

Kupita traffic lights gari ikiwa speed zaidi ya hamsini kwa madai mnawahi majambazi sijui vita (na bora hata wawe kweli wanawahi hiyo vita) hiyo siyo dharura huo ni uhuni,inajulikana kabisa asubuhi barabara zipo busy ila wao ni mbio mbio je wakigonga mtu wakauwa?
Wako makini wamefunzwa dangerous driving huku wakilinda uhai wao na wa wengine

Dangerous driving au VIP speed driving ni course askari madereva hupewa aweza katiza hata mataa Kwa spidi 200 kilo mia Kwa saa asisababishe ajali

Sio vizuri kuwa block waweza kukutandika risasi sababu waweza kuhisi vibaya kuwa unawazuia operation zao za kijeshi ukawekwa Kundi la wahalifu ukauawa Bure na kagari kako used

Ukisikia ving'ora au wanakuja park pembeni au acha njia wazi wapite .Hata iwe asubuhi waweza kuwa wanawahi mikutano ya kujadili Hali ya usalama wa mkoa,wilaya au Nchi na kuwahi kupekeka ripoti Kwa Raisi Kwa maamuzi au wakubwa wao asubuhi hiyo

Kifupi Wewe wapishe tu

Ujeuri haulipi na kigari chako used
 
Ulimbukeni na Ushamba uliovuka 100%
Tuendelee kusaka pesa ,wakati wa mbwai mbwai na wewe unashuka kwenye LC 300 yako na kipensi ,wakiona wanasema Msee habari Mkuu.Hatukujaa kama wewe Msee basi safari njema..
Ila kiuhalisia wanazingua Kinyama ukiwa na mishe zako ngumu town.
 
Leo pale Mbezi Temboni sijui ndiyo wanamuita CDF au mkuu wa majeshi alikuwa anapita asubuhi tukiwa tunasubiri taa ziruhusu aisee wale MPs ni totally crazy,jamaa wanagonga gonga body hovyo gari inayoongoza msafara iko mbio aliyopanda huyo jamaa iko mbio

Halafu ni kwenye mataa,vitu vya ajabu kabisa.
Kuna huu ujinga pia wa kusimamisha watu masaa mawili ili kiongozi apite. Hivi hakuna mawasiliano, kwamba kama ikibidi kusimamisha watu, basi isizidi nusu saa? Unakuta waziri mkuu bado yuko Ubungo askari wanasimamisha magari Chalinze. Akili za Watanzania sijui tulimwazima nani azitumie akakataa kuturudishia!
 
Tatizo viongozi wetu hawapo kwa ajili ya wananchi, wamejigeuza miungu watu, hivyo bila sheria kali na katiba mpya hakuna kitachobadilika
 
Nawaonaga ni mafala tu,wanashindwa kushinikiza serikali wajenge barabara pana na nyongeza kutoka kibaha alipoishia JPM mpaka moro.yaani ni kama hawaoni kufika dodoma kulivyo kugumu kwao sababu ya foleni na uwembamba wa barabara.kibaha moro ni kama kilomita 150,nina uhakika bil 400 kodi ya mwenzi mmoja inatosha kutoa kandarasi na kusema fedha ipo na imeshatengwa ni manunuzi na ujenzi tu ufanyike.tunasema makusanyo yameongezeka kinachofanyika kulipa madeni hewa ya kesi za kubumba.
Ni kama CDF alivyosema kuna wateule sio raia na hao wanaojiita usalama hawapimi maamuzi ya viongozi wetu wao wanaiba tu.mi nikimkuta mtu jumatatu anawahishwa dodoma najua ameiibia serikali alitakiwa asafiri jumapili,sasa amesafiri jumatatu kufinya per diem moja ya jumapili.ni MAJIZI tu.
 
Wako makini wamefunzwa dangerous driving huku wakilinda uhai wao na wa wengine

Dangerous driving au VIP speed driving ni course askari madereva hupewa aweza katiza hata mataa Kwa spidi 200 kilo mia Kwa saa asisababishe ajali

Sio vizuri kuwa block waweza kukutandika risasi sababu waweza kuhisi vibaya kuwa unawazuia operation zao za kijeshi ukawekwa Kundi la wahalifu ukauawa Bure na kagari kako used

Ukisikia ving'ora au wanakuja park pembeni au acha njia wazi wapite .Hata iwe asubuhi waweza kuwa wanawahi mikutano ya kujadili Hali ya usalama wa mkoa,wilaya au Nchi na kuwahi kupekeka ripoti Kwa Raisi Kwa maamuzi au wakubwa wao asubuhi hiyo

Kifupi Wewe wapishe tu

Ujeuri haulipi na kigari chako used
Eti used yupi Yuko vzr mwenye used yake au new ya Kodi za wananchi

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Wako makini wamefunzwa dangerous driving huku wakilinda uhai wao na wa wengine

Dangerous driving au VIP speed driving ni course askari madereva hupewa aweza katiza hata mataa Kwa spidi 200 kilo mia Kwa saa asisababishe ajali

Sio vizuri kuwa block waweza kukutandika risasi sababu waweza kuhisi vibaya kuwa unawazuia operation zao za kijeshi ukawekwa Kundi la wahalifu ukauawa Bure na kagari kako used

Ukisikia ving'ora au wanakuja park pembeni au acha njia wazi wapite .Hata iwe asubuhi waweza kuwa wanawahi mikutano ya kujadili Hali ya usalama wa mkoa,wilaya au Nchi na kuwahi kupekeka ripoti Kwa Raisi Kwa maamuzi au wakubwa wao asubuhi hiyo

Kifupi Wewe wapishe tu

Ujeuri haulipi na kigari chako used
Mkuu unajua maana ya DANGEROUS DRIVING? It's an offense.
 
Back
Top Bottom