Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,756
- 29,316
wapo wengi walioingizwa na mjomba, baba, wengine kwa vyama.Si kila kada hana uwezo mkuu, ni kama vile wengine huingia huko kwa kuagizwa na wazazi wao.
Makada huwa wengi lakini huchukuliwa wachache ambao wanaonekana wanakitu cha ziada.
Sikatai kwamba hao uliowaona hawana uwezo inategemea umewalinganisha na nani.
Hata wewe tukikulinganisha na mwingine yumkini tutakuona sio bora kama mwingine.
Basi nikuombe, chunguza na wale wa kamlete!
simple brother. wanajiami because nyumba yao walio waingiza humo ni top officials wenye power. they beleive hawawezi guswa.Kwa taarifa tu hata makada wenyewe ambao hata maan aya neno intelligence hawaijui mtaani wanalinga na kujidai kama wana usalama. Yaani kila kada ambaye ana back up fulani anatembea kwa vitisho balaa. Anajiamini kichizi yaani. Kumbe ni kada tu. Hii sense of feeling sijui wanaitoa wapi.
Mbona taarifa zimeanza kabla ya kuonekana hayo magari??Kama hili lilitokea basi ni dhahiri kwamba wale watu wanaodai kupata taarifa kutoka ndani(serikalini) walizitengeneza tu baada ya kudokezwa kwamba hayo magari yameonekana mtaani.
Nipo hapa kujifunza.....nielimisheni.
Unaambiwa walipewa Picha ya Osama kuwa ndo target y mission ndani ya ndege mpaka wakataharukiMkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush Jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Hapana kuna time anapumzikasimple. kwanza hiyo account ina operate 24/7 hrs. in real sense.. hakuna mwanadam ana stay online na kufanya hayo yote kwammiezi yote hiyo.
hii ni timu ya watu.. kila mmoja akiwa na shift yake la ku login na kufanya kazi.
Mbona walishafanya yote hayo hadi Calibrete ukitaka kujua callibrete ni bani nenda wagugo uoneNakumbuka by then membe alitahadharisha kwamba, sio kazi kubwa kutumia hackers ni suala pesa tu....
Unaenda duniani huko unaajiri hackers wako unawaleta dasilama wanakupigia mzigo
Kutetea kufa kwa mtu ndio maslahi kama ni Covid-19 si na o ugonjwa tuMimi ni mtanzania mzalendo.
Mwana chama hai wa cdm no.xxxx mkoa wa iringa na kadi yangu nailipia.
Sema tu sio mbinafsi kwenye maslah mapana ya taifa
You pretend to know something but it is just nothingUnachekesha walionuna Chief!
Niulize waliomuua Ben Saanane kwani nina ushahidi gani kwamba kweli amekufa? Kuna mwili ulipatikana ama hata mabaki yake? Death announcement or even just death certificate ilitoka lini?
Eti Lissu aliuliwa wakenya wakamfufua!? You now making mockery kwa Mungu eeh? Mheshimiwa Lissu si alisema anawafahamu watesi wake and all those who attempted to murder him? Anasubiri nini kuwataja majina tuwatambue nao wapate stahiki yao?
Hizi mind games mnazocheza ain’t even worth anybody’s time basi tu!
Umesema mnaanza upya na liwalo na liwe, right?! Tupo, we are always watching! Kindly entertain us, please!
You pretend to know something but it is just nothing
Swala ulinzi wa nchi ni changamoto kubwa hata kwa mataifa makubwa. Marekani inalalamika Russia inahusika katika kuwachagulia marais wao. Hivyo hatuko salama.Ikulu mliijaza watu wasio na iwezo bali wenye akili za kulinda matakwa ya Makomeo wala haishangazi ku diffuse maadui hadi Ikulu tamaa za madaraka na umimi ndio zimepelekea hayo
Uko sahihi kabisa nduguSwala ulinzi wa nchi ni changamoto kubwa hata kwa mataifa makubwa. Marekani inalalamika Russia inahusika katika kuwachagulia marais wao. Hivyo hatuko salama.
Kila tunavyozidi kuwa na mfumo ndugu wa kuchagua walinzi wetu ndiyo tunavyojiweka uchi zaidi na kwa namna tunavyoyafanya maisha ya raia wetu kuwa magumu ndiyo tunavyozidi kukaribisha mbinu mpya na za kisasa kabisa za kuliangamiza taifa letu.
Kazi kuu ya mama hata kama atashindwa yote amalizie kazi ya kuandika katiba mpya. Bila katiba mpya nchi yetu itaelekea kubaya soon.TISS ya Sasa inasikitisha sana kama Utopolo inavyosikitisha yaani, huwezi ukawa na KGB, Mossad, au MSS ya nchi then vitu very sensitive vinavujaa then tunachekeane, bila kupigana supnaa za nguvu, Tunamuomba Mhe. Mama yetu Rais Samia, asikubali hizi style za Kigogo 2014, hapa ni lazima kuwapoteza baadhi ya watu waliomo ndani kama MSS China wanavyofanya, tutaelewanaa tuu!
TISS igawanyikeKuna haja ya kufanya mabadiliko, maana Tiss ni taasisi nyeti sana... Kama ikiachwa bila kufanyiwa mabadiliko basi serikali itapata tabu sana.