Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Issue yetu iko kwenye recruitment ya staff wa TISS, misingi imeachwa wanaangalia mtoto wa fulani pia awepo kama sehemu ya ajira ya kawaida, wamefanya hivyo hata kwwnye vyombo vingine vya ulinzi na usalama kama polosi, uhamiaji, magereza, na jeshini. Watu hawa hawapendi kazi wanapenda pesa, sasa utakapozuia wao kupata hela kama enzi za fulani watatamani uondoke ili wajaribu huko mbele. Usifikirie kidogokidogo hivyo
Kigezo cha kwanza uwe mzalendo yaani mwanaccm....😁😁😁
 
Mkuu, kwa bahati mbaya mimi sikuona video clip hiyo, lakani kutokana na maelezo yako inaelekea camera ilikuwa imefichwa kwenye miwani yake, tugeweza kusema labda kwenye barakoa lakini dalili zinaonyesha ni miwani - watu wenye nyenzo kama hizo ni majasusi pia na usalama wa taifa, lakini hata wahalifu walio kubuhu wanaweza kununua nyenzo kama hizo off the shelf Uchina, Hong Kong na kwingineko Duniani.

Kinacho nishangaza mimi iweje Tundu Lissu apate latest movement za Mzalendo JPM alipo anza kuumwa na kulazwa hospitalini yote hayo in real time!! Halafu anasema kwamba info hizo amezipata kutoka kwenye reliable source za USA na Afrika Kusini, kuna kitu pale si bure - binafsi naona Serikali yetu ifanye juu chini kumukamata Lissu aletwe nchini ahojiwe kwa kina, huyo ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa ku-spill the beans kwa kuwataja wale wote aliokuwa anashirikiana nao, sijui wenzangu hili mnalionaje?
Kweli Na huyu ndie miongoni mwa watu ambai wazungu wanawatumia kuchafua inchi Ila waje wajichotee Mali kama wanavyo fanya Congo au libya
 
kupata info kama hizo ni rahis sana. inategemea how connected you are na watu walioko ndani ya serikali au ndani ya TISS.
Tundulissu ni kamtu kadogo sana kwenye hii circle. kuna major players ambao wako ndani ya serikal. na hawa ndio wabaya zaidi.

akikosekana lissu ,hizo info watampa mwingine. eg. kigogo
tusipodhibiti hao wasaliti wa ndani. tutakuwa hatujafanya lolote.
Hizo dharau zitaendelea kuwaponza. Mtu yeyote makini hawezi kumchukulia TL kama kamtu kadogo. Mpaka hapa nimekushusha viwango. You are not thinking maturely.

Ni TL ndie kasababisha uchaguzi wote wa 2020 uharibike like nothing else.. unless uwe ni mataga hutanielewa
 
Tecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.

TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.

Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.

Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Urusi.
Teknolojoa iko mbali acheni masihara. Nzi anapita juu. Wewe utadhani ni nzi- mdudu kumbe mi drone inarekodi matukio.
 
Unachekesha walionuna Chief!

Niulize waliomuua Ben Saanane kwani nina ushahidi gani kwamba kweli amekufa? Kuna mwili ulipatikana ama hata mabaki yake? Death announcement or even just death certificate ilitoka lini?

Eti Lissu aliuliwa wakenya wakamfufua!? You now making mockery kwa Mungu eeh? Mheshimiwa Lissu si alisema anawafahamu watesi wake and all those who attempted to murder him? Anasubiri nini kuwataja majina tuwatambue nao wapate stahiki yao?

Hizi mind games mnazocheza ain’t even worth anybody’s time basi tu!

Umesema mnaanza upya na liwalo na liwe, right?! Tupo, we are always watching! Kindly entertain us, please!
Hiyo haki ya watesi wake ingepatikanaje kama lissu angewataja kea majina? Nani angeverify hayo majina kuwa kweli ndio hao na nani angeitoa hiyo haki na wapi?
 
Kweli Na huyu ndie miongoni mwa watu ambai wazungu wanawatumia kuchafua inchi Ila waje wajichotee Mali kama wanavyo fanya Congo au libya
Kama Angel Makel mkuu wa nchi iliyoendelea Ujerumani analalamika kudukuliwa na kuhofia usalama wake na taifa sembuse sisi? Technologia imekuwa kiasi kwamba dunia sasa imekuwa kama kitongoji, hakuna umbali wala siri yoyote utamficha mtu asiijue. Mbona hata hapa akina Membe, Makamba, Nape walidukuliwa tu kirahisi? Ndio maana mm nashangaa kwanini nchi inatumia pesa nyingi kuhamia dodoma kwenye zama hizi za utandawazi na tehama badala hela hizo zingetumika kukuza mifumo yetu ya kupashana habari na data. Inawezekana wazo la kuhamia dodoma lilikuwa valid wakati wa awamu ya kwanza lakini likapoteza umuhimu kwenye awamu zilizofuatia kutoka na changamoto za awamu ya kwanza kuwa tofauti kabisa na zile za awamu zilizofuatia.
 
Kutokana kifo cha JPM, leo nilipata muda wa kutafakari mambo kadhaa.

Tafakuri yangu imenipa jibu kwamba Tanzania tumevamiwa na maadui kila kona.

Kitendo cha taarifa nyeti za Ikulu kuvuja mitaaani kabla ya taarifa rasmi maana yake kwamba kuna mamluki wengi wamejaza Ikulu. Picha ya jeneza la JPM ilianza kusambaa kabla ya taarifa rasmi ya kifo, hii ni hatari sana.

Sasa hivi imekuwa kawaida sana taarifa za siri ndani ya serikali kuonekana mtaani. TISS wa siku hizi kazi yao kuvaa suti nyeusi na miwani kama wachomelea mageti lakini wengi wao wanakiuka viapo vyao.

Zamani mtu wa TISS kumtambua ilikuwa ngumu, ila siku hizi hadi wanajitambulisha wenyewe mitaaani hii ni hatari. Ushauri wangu ili Mama Samia afanye kazi vizuri, ni vema Ikulu isafishwe, maafisa wale wa zamani wote waondolewe. Kuanzia macamera man hadi walinzi wa getini otherwise mama atafanya kazi kwa presha sana.
Uzi wako huwa nauona na kuupuuza jana nimesoma pia uzi wa jamaa anaitwa nafikiri Mk54, mmenifikirisha zaidi...
 
Vitu ni vingi mno na tuache dharau ya kujiona kuwa tunajua sana.Hasa wale walio kweye mifumo...fujo mara umezuia Twitter mara sijui nini watu wanakuwa kimawazo na kiteknolojia kila leo.Hatuko 1900
 
Hizo dharau zitaendelea kuwaponza. Mtu yeyote makini hawezi kumchukulia TL kama kamtu kadogo. Mpaka hapa nimekushusha viwango. You are not thinking maturely.

Ni TL ndie kasababisha uchaguzi wote wa 2020 uharibike like nothing else.. unless uwe ni mataga hutanielewa
Nadhani ume ni missinterpret. my point is katika hii circle ya kuvuja kwa information tunduliss ni small part ya huo mchezo.
large players wako ndani ya system yenyewe.
sijasema achukuliwe powa.. ila yeye ni tip of ice berg.. kuna wengine ambao hawajulikani.

Pls usinihusishe na group lolote. siko hapa kwa interest za upande wowote ule. just a concerned citizen
 
Chief, Rumors are uncertain, unverified or doubtful Truth!

Politics are the back bone of any State or Nation, nothing can be achieved without it! The only problem is the Filthiest kind of politics that Africa and its people have developed!

Side note; the Military & Security histories are bound with politics and politicians!

Siasa haikwepeki popote pale, inatumikaje ndipo maumivu yalipo!
"Filthiest kind of politics" now this is interesting.
how do we manage to identify bad politics & good politics?
i mean if we operate only using politics,its easier politicians to control major organs of gov ( good examplr is our current states),
including the intelligence organs.
if we could succeed to separate politics from intelligence community, and block politician to temper with country intelligence.. we will be succesful.
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Mkuu umeamua kudanganya kwa ujumla, Tanzania kuna makada wangapi? Ni wangapi kati yao wamepelekwa huko usalama? Je kama kada ana uwezo kwanini asichukuliwe? Tatizo hili la uvujaji wa taarifa limekuwa la kidunia si Tanzania pekee. Huenda, vyombo hivi katika kizazi hiki vinapaswa kubadili namna ya kuendesha shughuli zake.
 
Mkuu umeamua kudanganya kwa ujumla, Tanzania kuna makada wangapi? Ni wangapi kati yao wamepelekwa huko usalama? Je kama kada ana uwezo kwanini asichukuliwe? Tatizo hili la uvujaji wa taarifa limekuwa la kidunia si Tanzania pekee. Huenda, vyombo hivi katika kizazi hiki vinapaswa kubadili namna ya kuendesha shughuli zake.
Hiki chombo wanasiasa wanataka waki control wakitumie kwa manufaa yao.
Wanajua wakiwa againts it watafeli.

taarifa sijui makada wangapi tanzania, sijui. But nawafaham baadhi ya watu ambao ni makada si chini 21. na ni watu wa karibu ambao kiuwezo wako chini. ila waliingizwa in the name of uzalendo wkt in real sense hawana hizo qualifications. na hiyo small portion tu.

unless na ww ni kada
 
I support
"Filthiest kind of politics" now this is interesting.
how do we manage to identify bad politics & good politics?
i mean if we operate only using politics,its easier politicians to control major organs of gov ( good examplr is our current states),
including the intelligence organs.
if we could succeed to separate politics from intelligence community, and block politician to temper with country intelligence.. we will be succesful.
 
Hiki chombo wanasiasa wanataka waki control wakitumie kwa manufaa yao.
Wanajua wakiwa againts it watafeli.

taarifa sijui makada wangapi tanzania, sijui. But nawafaham baadhi ya watu ambao ni makada si chini 21. na ni watu wa karibu ambao kiuwezo wako chini. ila waliingizwa in the name of uzalendo wkt in real sense hawana hizo qualifications. na hiyo small portion tu.

unless na ww ni kada
Kwa taarifa tu hata makada wenyewe ambao hata maan aya neno intelligence hawaijui mtaani wanalinga na kujidai kama wana usalama. Yaani kila kada ambaye ana back up fulani anatembea kwa vitisho balaa. Anajiamini kichizi yaani. Kumbe ni kada tu. Hii sense of feeling sijui wanaitoa wapi.
 
Nadhani ume ni missinterpret. my point is katika hii circle ya kuvuja kwa information tunduliss ni small part ya huo mchezo.
large players wako ndani ya system yenyewe.
sijasema achukuliwe powa.. ila yeye ni tip of ice berg.. kuna wengine ambao hawajulikani.

Pls usinihusishe na group lolote. siko hapa kwa interest za upande wowote ule. just a concerned citizen
Asante kwa ufafanuzi...Mr Concerned citizen😅
 
Hiki chombo wanasiasa wanataka waki control wakitumie kwa manufaa yao.
Wanajua wakiwa againts it watafeli.

taarifa sijui makada wangapi tanzania, sijui. But nawafaham baadhi ya watu ambao ni makada si chini 21. na ni watu wa karibu ambao kiuwezo wako chini. ila waliingizwa in the name of uzalendo wkt in real sense hawana hizo qualifications. na hiyo small portion tu.

unless na ww ni kada
Si kila kada hana uwezo mkuu, ni kama vile wengine huingia huko kwa kuagizwa na wazazi wao.

Makada huwa wengi lakini huchukuliwa wachache ambao wanaonekana wanakitu cha ziada.

Sikatai kwamba hao uliowaona hawana uwezo inategemea umewalinganisha na nani.

Hata wewe tukikulinganisha na mwingine yumkini tutakuona sio bora kama mwingine.

Basi nikuombe, chunguza na wale wa kamlete!
 
Back
Top Bottom