Tanzania Commandos show

Tanzania Commandos show

kwa hiyo kuruka na hizo parachute wanataka tuelewe nini hasa? Kwamba makomandoo wetu wapo fiti sana wanaruka kwa maparachute? Eti wanavunja mawe kwa vichwa, ili kumtisha nani? Hivi kweli waliyoyaonyesha yanatosha kujiridhisha juu ya ubora wao? Dunia ya sasa inaendeshwa kwa sayansi na teknolojia hivyo mbwembwe zote hizo ni kazi bure kama teknolojia ipo chini. sikatai umuhimu wa fitness kwa hawa mabwana ila tusiegemee huko zaid hakuna adui atakaye kuruhusu umsogelee daima atataka kukumaliza ukiwa mbali hivyo unapaswa kujipanga na kumkabiri akiwa mbali hivyo hivyo (teknolojia) wenzetu wana ndege zisizo na ruban ili kuhakikisha wanapambana na adui pasipo kuhatarisha maisha ya askar wao je sisi tuna kipi tunachotengeneza wenyewe? Tumeendeleza kwa kiasi gani yale magar tuliyokuwa tuna tengeneza?(nyumbu) Tuendeleze teknolojia yetu haya mambo ya kuruka na miamvuli kuwafurahisha raia hayana msingi ni sifa za kijinga. Wenzetu wanatuchora tu!

uko sawa tu pia!
Mara nyingi operations ambazo commandos wanakuwa assigned wanakuwa katika vikundi vya watu wachache sana, teknolojia inasaidia sana tu kukabiliana na adui ila huwezi ku-undermine human use kama vile ilivyo katika intelijensia huwezi kupuuza human intelligence (HUMINT) licha ya mahitaji ya teknolojia ya hali ya juu.
Chukulia mfano ulio wazi wa kukamatwa na kuuawa kwa Osama Bin Laden kule Pakistan, teknolojia ilitumika sana tu kufahamu alipo na nguvu around him lakini mwisho wa siku ni timu ya makomando iliyotumwa kwenda kutekeleza mission ya kumkamata/kumuua. Marekani licha ya kuwa na teknolojia ya juu mno (Drones etc) but still ina vikosi maalumu vingi tu vya ukomando.
Tusisahau pia pale uwanjani kwenye maonyesho lengo ni kutoa burudani, kuonyesha vitu interesting kufurahisha watu sio kutisha watu kwa kuua mtu pale!
 
Ukomandoo gani huo. Hata mtaani kwetu vijana wanafanya sarakasi za hatari kuliko hata wao.
 
kama mambo yaliyoonekana mpaka kwenye Tv na zaidi sana kuna watu waliohudhuria na kuona kabisa lakini bado wengine wanabisha ? hii inaonekana kuwa humu ndani wala wote sio watu wenye akili kama tunavyojiita magreat thinkers wengine ni wapumbavu tuu na ndio maana hata mambo ya maana wengi tu wanabisha mpaka matusi, ,.....
 

Nimewafurahia hao makomamdo wetu, na naombea wawafikie makomando wa ukweli (US Army- Special Forces),
Mama Mdogo, mtaala wao wa mafunzo kwa Commandos hauna tofauti na mtaala unaofundisha makomando wetu wa tanzania, those boys waliovaa Maroon beret pale uwanjani hawakuzipata kwa upendeleo au kwa kupata below standard training, itz more or less the same mama.

Hebu niulize swali, Kwa mfano kama USA special forces wenye Green beret ndio wangekuja kufanya maonyesho pale uwanjani ni kipi ungetarajia kukiona wakifanya??
 
Last edited by a moderator:
Hawana tofauti na akina kingwendu..waende afghanistan wakaonyeshe huo ukomando..ukomando sio kuvunja matofali...jk bwana hivi unafikiria hivi vitu kweli..acha sanaa ujijengee heshima huu mnaofanya ni upuuzi

Wataenda na watarudi na hautakuwa informed!
 
U.S. Army Considers Replacing
Thousands of Soldiers With Robots
By Evan Ackerman
Posted 22 Jan 2014 | 17:05 GMT
Share | Email | Print
Image
Photo: Boston Dynamics
Boston Dynamics designed the LS3 "robot
mules" to help soldiers carry heavy loads.
Last week at the Army Aviation
Symposium, in Arlington, Va., a U.S. Army
officer announced that the Army is looking
to slim down its personnel numbers and
adopt more robots over the coming years.
The biggest surprise, though, is the scale
of the downsizing the Army might aim for.
At the current rate, the Army is expected
to shrink from 540,000 people down to
420,000 by 2019. But at last week's event,
Gen. Robert Cone, head of the Army's
Training and Doctrine Command, offered
some surprising details about the slim-
down plans. As Defense News put it, he
"quietly dropped a bomb," saying the
Army is studying the possibility of reducing
the size of a brigade from 4,000 soldiers to
3,000 in the coming years. To keep things
just as effective while reducing manpower,
the Army will bring in more unmanned
power, in the form of robots. From the
Defense News story:
“I’ve got clear guidance to think about
what if you could robotically perform
some of the tasks in terms of
maneuverability, in terms of the future
of the force,” he said, adding that he
also has “clear guidance to rethink”
the size of the nine-man infantry
squad.
“When you see the success, frankly,
that the Navy has had in terms of
lowering the numbers of people on
ships, are there functions in the
brigade that we could automate—
robots or manned/unmanned teaming
—and lower the number of people that
are involved given the fact that people
are our major cost,” he said.
The thing to keep in mind about initiatives
like this is that the army personnel who
are actually flying airplanes or shooting
guns or disarming bombs don't make up
the majority of the army. There's a
concept called tooth-to-tail ratio, which is
the ratio of soldiers directly involved in
fighting missions (tooth) to those involved
in supporting activities (tail). A typical ratio
is about 1/3 tooth to 2/3 tail, which means
that you're spending a lot of resources on
logistics, supplies, and other efforts to
support the actual combat operations.
According to Gen. Cole, the Army sees that
as an opportunity to become more
efficient. "Maybe it’s one-half to one-half,"
he said. "The point is you get to keep more
tooth, more folks that actually conduct
operations on the ground and less
supporting structure."
And one way of becoming more efficient is
by using support robots—a trend we're
seeing not only in the Army but other U.S.
armed forces as well. Robots will likely
include autonomous vehicles that can
transport supplies, autonomous aircraft
that can transport supplies
, and other autonomous robots that can
transport supplies
(like the LS3 "robot mule," pictured above)
. As you may have noticed, there's a
theme here, but most of those support
robot programs are in the early stages and
whether they'll prove effective, only time
will tell.
 
Mkuu ni safi na imependeza lakini cha kushangaza hao makamando siku ukiwona uswahilini basi huwa analalamika maisha magumu na kazini huwa hapandishiwi cheuo na yupo muda mrefu na walokuja karibuni hupanda cheo na mshahara wa juu
 
Mimi niulize tu kwa nini major yao ni pipo from Musoma?
 
Hawa makomandoo gani kama waigizaji wa bongo movie. Kuna mtu pale migomigo anaitwa Jimmy Master na mwingine Seba wanacheza hayo mambo pengine hata zaidi.
Na rais yuko pale anachekelea tu watu wanafanya mambo ya adabu.
Kwa ukomando huu kagame anawachora tu siku akianzisha mziki hamtaweza kuhimili.
Labda tutamshinda kwa wingi sio ushujaa
.tofali la kuchoma hata Mie navunja nikilewa.
 
Hao Jamaa (Makomandoo) ukiwatuma wakamlete Bw.Kagame Paulo wataweza? Yaani waende waingie Ikulu ya Bw.Paulo Kagame wamchukue wamlete ndani ya TZ bila ya Risasi kupigwa wala mtu kuuliwa!
 
Wakuu naomba mwenye picha ya makomandoo wa Us au Israel, india, ujerumani wakionyesha show ya kuvunja tofali. Mheshimwa sana Tayta,Allien naombeni hizo picha mzitupe hapa
 
Hawa makomandoo gani kama waigizaji wa bongo movie. Kuna mtu pale migomigo anaitwa Jimmy Master na mwingine Seba wanacheza hayo mambo pengine hata zaidi.
Na rais yuko pale anachekelea tu watu wanafanya mambo ya adabu.
Kwa ukomando huu kagame anawachora tu siku akianzisha mziki hamtaweza kuhimili.
Labda tutamshinda kwa wingi sio ushujaa
.tofali la kuchoma hata Mie navunja nikilewa.

Poor mind!
 
Hawa makomandoo gani kama waigizaji wa bongo movie. Kuna mtu pale migomigo anaitwa Jimmy Master na mwingine Seba wanacheza hayo mambo pengine hata zaidi.
Na rais yuko pale anachekelea tu watu wanafanya mambo ya adabu.
Kwa ukomando huu kagame anawachora tu siku akianzisha mziki hamtaweza kuhimili.
Labda tutamshinda kwa wingi sio ushujaa
.tofali la kuchoma hata Mie navunja nikilewa.

Poor mind!
 
Back
Top Bottom