Kusema kweli magari siku hizi ni more software kuliko hardware. Nimesikiliza Keynotes mbili, kila mtu AI AI AI. Ila sawa ndio tunakoenda.
Baadhi ya magari niliyoyasikia:
1. AUDI E7X
Usimix na Audi, hii AUDI ni magari kutoka Audi ila Specifically kwaajili ya China.
2. BYD
BYD wametambulisha sedan yao mpya Seal 08 na SUV yao Sealion 08.
3. Nio
Nao wametambulisha ET09 SUV
4. Geely
Wao wamezindua EVA Cab, hii ni huduma ya robotaxi kama Cybercab ya Tesla.
5. Alibaba
Qwen AI ni ya kwenye gari, utaweza kufanya booking ya hotel, restaurant, movie au kuorder chakula ukiwa mataa.
6. Nissan
Nissan wamezindua PHEV SUV, ipo off road na ya town.
7. Peugeout
Wamezindua magari kadhaa ila hii hypercar ni tamu, Peugeout 9X8.
8. Honda
Honda nao wamezindua pikipiki, magari etc ila SUV zao za HR-V na CR-V kali sana, kali ni EV yao mpya SV.