Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Wabongo bana.........Walikuwa wanafanya acrobatic au ukomandoo? Kama ukomandoo walikuwa wanafanyia pori la ngerengere?
Sasa Heading ya thread ni 'Tanzania Comnandos Show'.......Na kazi za Commandos ni pamoja na hiyo unayoiita carobatic...
Sasa sijui wewe ulitaka hiyo show ioneshe ukomandoo wanaoufanya Ngerengere ama kwenye medani ya kivita.....