Tanzania Commandos show

Tanzania Commandos show

Walikuwa wanafanya acrobatic au ukomandoo? Kama ukomandoo walikuwa wanafanyia pori la ngerengere?
Wabongo bana.........

Sasa Heading ya thread ni 'Tanzania Comnandos Show'.......Na kazi za Commandos ni pamoja na hiyo unayoiita carobatic...

Sasa sijui wewe ulitaka hiyo show ioneshe ukomandoo wanaoufanya Ngerengere ama kwenye medani ya kivita.....
 
Wabongo bana.........

Sasa Heading ya thread ni 'Tanzania Comnandos Show'.......Na kazi za Commandos ni pamoja na hiyo unayoiita carobatic...

Sasa sijui wewe ulitaka hiyo show ioneshe ukomandoo wanaoufanya Ngerengere ama kwenye medani ya kivita.....

Nilitarajia show ya kikomandoo na si acrobatic kama walivyofanya.
 
Niliona kwenye luninga maonesho ya hao makomandoo; mafunzo yao ni hali ya juu sana. Nikakumbuka jinsi askari walivyopata taabu kumkamata Tamim mmoja wa makomando waliotuhumiwa kutaka kuipindua serikali ya Nyerere na hatimaye kuweza kumuua kwa kumpiga risasi pale Kinondoni!!!!.

Haya maonesho ya nguvu za dola yaliyooneshwa kule Zanzibar wakati wa sherehe za miaka 50 ya mapinduzi yana lengo la kuwatayarisha kisaikolojia wananchi wa visiwani kitu gani wakitegemee na kinaweza kuwapata iwapo watakaidi matakwa ya watawala wao ikiwa ni pamoja na kukataa muungano wa serikali mbili!!!
 
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi
Yani we kunguru unasema nilikua nafanya mazingaombwe.Yani umati wote ule mie niwafanyie mazingaombwe?
 
Nawachukia Wanajeshi wanaopenda kuwaonea waTanzania
 
Angalau leo nimekuwa na hakika za akili za Watanzania fulani. Eti kweli mtu haamini tofali kuvunjwa kwa mkono halafu ana comment kama vile anajua! Korea zoezi la kwanza kwa mtoto la martial arts ni kuvunja mbao. Commando ni askari aliyefundishwa kupambana hata bila kuwa na silaha. Katika kukomesha technology ya nuclear ya Iran israel walimuiba yule ginius wa kirusi aliyekuwa ana run mitambo na ameweka firewalls za kufa mtu huwezi kutuma viruses waharibu. je? hapo walitumia technology gani? hapo kaka ilitumika manual technology yaani makomando! kama hujui bora ukiri hujui ili ujulishwe kuliko kujijulisha ujinga na kujifanya unajua!
 
Niliona kwenye luninga maonesho ya hao makomandoo; mafunzo yao ni hali ya juu sana. Nikakumbuka jinsi askari walivyopata taabu kumkamata Tamim mmoja wa makomando waliotuhumiwa kutaka kuipindua serikali ya Nyerere na hatimaye kuweza kumuua kwa kumpiga risasi pale Kinondoni!!!!.

Haya maonesho ya nguvu za dola yaliyooneshwa kule Zanzibar wakati wa sherehe za miaka 50 ya mapinduzi yana lengo la kuwatayarisha kisaikolojia wananchi wa visiwani kitu gani wakitegemee na kinaweza kuwapata iwapo watakaidi matakwa ya watawala wao ikiwa ni pamoja na kukataa muungano wa serikali mbili!!!

Yah tutawadhurumu kula kitu cha muungano ole wa o walete choko2
 
Hivi hawa so called makomandoo wetu kazi yao ni kuonyesha show kwenye sherehe tu?
 
Yaani watu kama wewe hopeless kabisa, kizuri kikiwa cha Tanzania lazima mlete kashifa ingekuwa wazungu usingesema utumbo wako, yaani umeshindwa ata kuona mateke ya kimo cha watu wawili nayo ni mazingaombwe.
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi
 
Hivi hawa so called makomandoo wetu kazi yao ni kuonyesha show kwenye sherehe tu?


Hapana, ila pengine umetambua uwepo wao kupitia hiyo show yao. Kama hukujua uwepo wao basi inawezekana kuna mengine mengi pia usiyoyajua kuwahusu, ikiwemo kazi zao!
 

Hapana, ila pengine umetambua uwepo wao kupitia hiyo show yao. Kama hukujua uwepo wao basi inawezekana kuna mengine mengi pia usiyoyajua kuwahusu, ikiwemo kazi zao!

Hawana kazi yoyote ya maana hao zaidi ya kuruka ruka kwenye sherehe
 
Back
Top Bottom