Tanzania Commandos show

Tanzania Commandos show

Sizijui zote ila naweza kukutajia operations kadhaa za Navy SEALS - Invasion of Grenada, Panama, Afghanistan, Iraq, kumuua Osama, na kadhalika.

Hii nukuu ni kutoka Wiki:



Sasa makomandoo wa Tanzania zaidi ya kuruka ruka na kuvunja vibao kwenye sherehe wameshashiriki operesheni gani?

Labda operation Tokomeza!
 
0L7C0250.jpg
 
Kiukweli inapendeza sana, tena wote wameiwakilisha vizuri rangi nyeusi iliyopo katika bendera yetu.
Nimepata shauku ya kujua kama huyo jamaa picha ya pili alifanikiwa kuvunja hayo matofali au lah......

Smell of racist
 
Hawana tofauti na akina kingwendu..waende afghanistan wakaonyeshe huo ukomando..ukomando sio kuvunja matofali...jk bwana hivi unafikiria hivi vitu kweli..acha sanaa ujijengee heshima huu mnaofanya ni upuuzi
 
kwa hiyo kuruka na hizo parachute wanataka tuelewe nini hasa? Kwamba makomandoo wetu wapo fiti sana wanaruka kwa maparachute? Eti wanavunja mawe kwa vichwa, ili kumtisha nani? Hivi kweli waliyoyaonyesha yanatosha kujiridhisha juu ya ubora wao? Dunia ya sasa inaendeshwa kwa sayansi na teknolojia hivyo mbwembwe zote hizo ni kazi bure kama teknolojia ipo chini. sikatai umuhimu wa fitness kwa hawa mabwana ila tusiegemee huko zaid hakuna adui atakaye kuruhusu umsogelee daima atataka kukumaliza ukiwa mbali hivyo unapaswa kujipanga na kumkabiri akiwa mbali hivyo hivyo (teknolojia) wenzetu wana ndege zisizo na ruban ili kuhakikisha wanapambana na adui pasipo kuhatarisha maisha ya askar wao je sisi tuna kipi tunachotengeneza wenyewe? Tumeendeleza kwa kiasi gani yale magar tuliyokuwa tuna tengeneza?(nyumbu) Tuendeleze teknolojia yetu haya mambo ya kuruka na miamvuli kuwafurahisha raia hayana msingi ni sifa za kijinga. Wenzetu wanatuchora tu!
 
kwa hiyo kuruka na hizo parachute wanataka tuelewe nini hasa? Kwamba makomandoo wetu wapo fiti sana wanaruka kwa maparachute? Eti wanavunja mawe kwa vichwa, ili kumtisha nani? Hivi kweli waliyoyaonyesha yanatosha kujiridhisha juu ya ubora wao? Dunia ya sasa inaendeshwa kwa sayansi na teknolojia hivyo mbwembwe zote hizo ni kazi bure kama teknolojia ipo chini. sikatai umuhimu wa fitness kwa hawa mabwana ila tusiegemee huko zaid hakuna adui atakaye kuruhusu umsogelee daima atataka kukumaliza ukiwa mbali hivyo unapaswa kujipanga na kumkabiri akiwa mbali hivyo hivyo (teknolojia) wenzetu wana ndege zisizo na ruban ili kuhakikisha wanapambana na adui pasipo kuhatarisha maisha ya askar wao je sisi tuna kipi tunachotengeneza wenyewe? Tumeendeleza kwa kiasi gani yale magar tuliyokuwa tuna tengeneza?(nyumbu) Tuendeleze teknolojia yetu haya mambo ya kuruka na miamvuli kuwafurahisha raia hayana msingi ni sifa za kijinga. Wenzetu wanatuchora tu!

-------.
 
hayo mambo niya kizamani sana karne ya saivi kwenye war utamkamata nani umpige ngumi wangekua wanamazoezi ukipingwa risasi haingi hapo hata mimi ningewakubali lakini kwakuvunja tofari watasubiri sana, hizo mambo huku kitaa watu wanafanya sana.

Nimewafurahia hao makomamdo wetu, na naombea wawafikie makomando wa ukweli (US Army- Special Forces), ebu waangalia hapa wakiwa mafunzoni
:




Vile vile waangalie hapa Navy's Sea, Air and Land Forces (Navy SEALs) wakiwa mafunzoni
:

 
Last edited by a moderator:
Upo tena huku,
Una matatizo makubwa sana ww
 
zamani nilikuwa nawapendaga sana hawa viumbe ila nimekuwa sitaki hata kuwaona
 
Back
Top Bottom