Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,085
- 136,582
How can existence exist in inexistence??
I dunno
How can existence exist in inexistence??
nadhani kwasababu hakuna vita,btw nahisi huwa anapelekwa kusaidia nchi nyingine zenye migogoroHivi hawa so called makomandoo wetu kazi yao ni kuonyesha show kwenye sherehe tu?
nadhani kwasababu hakuna vita,btw nahisi huwa anapelekwa kusaidia nchi nyingine zenye migogoro
Sasa pale unavyoona kuna msitu,bahari,mto,milima au bomu limelipuka? Yanayoweza kuonyeshwa uwanjani kama pale ni hayo,ila kutana nao kwenye maeneo niliyotaja ungeona mengineyo!Nilitarajia show ya kikomandoo na si acrobatic kama walivyofanya.
Nashukuru kwa kunisaidia kujibu mkuu.....Sasa pale unavyoona kuna msitu,bahari,mto,milima au bomu limelipuka? Yanayoweza kuonyeshwa uwanjani kama pale ni hayo,ila kutana nao kwenye maeneo niliyotaja ungeona mengineyo!
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi
Kiukweli inapendeza sana, tena wote wameiwakilisha vizuri rangi nyeusi iliyopo katika bendera yetu.
Nimepata shauku ya kujua kama huyo jamaa picha ya pili alifanikiwa kuvunja hayo matofali au lah......
Wameshashiriki operesheni gani iliyohitaji umahiri wao?
Wameshashiriki operesheni gani iliyohitaji umahiri wao?
jiulize military operations ambazo USA inafanya sehemu mbalimbali duniani,zote unazifahamu?au ulishawahi sikia zinazungumzwa ktk media?
On 12 April 2009, in response to a hostage taking incident off of the coast of Somalia by Somalian pirates, three Navy SEALs from DEVGRU simultaneously engaged and killed the three pirates who were closely holding the hostage, Captain Richard Phillips, of the freighter ship, the Maersk Alabama. The pirates and their hostage were being towed in a lifeboat approximately 100 yards behind the USS Bainbridge (DDG-96) when each of the pirates was killed by a respective DEVGRU sniper with a single shot to the head
ooh kumbe huzijui zote!!basi sawa.Sizijui zote ila naweza kukutajia operations kadhaa za Navy SEALS - Invasion of Grenada, Panama, Afghanistan, Iraq, kumuua Osama, na kadhalika
ooh kumbe huzijui zote!!basi sawa.
mazingaombwe kwani hamuyajui toka lini ngumi ikavunja jiwe duuh! kweli wabongo vichwa panzi mnadanganyika hivi hivi
Ntajie basi hizo za makomandoo wa kibongo
sizijui hata moja.mi ni raia tuu wa kawaida kama wewe,refer nilichoambiwa na marehemu uncle wangu ktk previous post hapo juu.ila wenyewe wazee wa vitengo wapo humu wanafatilia mjadala huu.acha nikuitie mmoja wao, gen Moshe Dayan .