Tanzania Commandos show

Tanzania Commandos show

Hao Jamaa (Makomandoo) ukiwatuma wakamlete Bw.Kagame Paulo wataweza? Yaani waende waingie Ikulu ya Bw.Paulo Kagame wamchukue wamlete ndani ya TZ bila ya Risasi kupigwa wala mtu kuuliwa!

Kagame mwenyewe yeye kama yeye amepata mafunzo yake hapa Tanzania, ni mwanafunzi wetu yule. Usiwe na mashaka hilo linawezekana vizuri tu kukiwa na haja ya kufanya hivyo, kwa sasa hakuna ulazima huo!
 
Yaani hakuna Mwanamke Komandoo? Wala Rubani ,wala Mruka na Mwanvuli? Kila siku kelele- Ohoo haki sawa, Ohoo Viti sawa Bungeni, Ohoo tuolewe na mme mmoja, Ohoo Spika wa Bunge Mwanamke, Ohoo awamu hii tunataka Raisi mwanamke!! Kwa style hii tutawatawala Mpaka mfutike Duniani hamna haki ya kudai usawa kumbe. Kazi zenu kucheza show za FM Academia, kupiga vijana mizinga, kupost picha za uchi (Instalgram, WhatsApp na FB), kulinda nchi hamtaki!!!!
 
Yaani hakuna Mwanamke Komandoo? Wala Rubani ,wala Mruka na Mwanvuli? Kila siku kelele- Ohoo haki sawa, Ohoo Viti sawa Bungeni, Ohoo tuolewe na mme mmoja, Ohoo Spika wa Bunge Mwanamke, Ohoo awamu hii tunataka Raisi mwanamke!! Kwa style hii tutawatawala Mpaka mfutike Duniani hamna haki ya kudai usawa kumbe. Kazi zenu kucheza show za FM Academia, kupiga vijana mizinga, kupost picha za uchi (Instalgram, WhatsApp na FB), kulinda nchi hamtaki!!!!

Ni jambo gumu almost impossible kwa mwanamke kukamilisha mafunzo yote ya ukomandoo, sio Tanzania pekee bali hata huko ulimwengu wa kwanza!
 
wanatishia UKAWA Hao,hakuna kitu mbele ya nguvu ya umma

Nguvu gan ya umma unayoiongelea??? Ule msamiati uliopo kwenye mashuka ya chadema au nguvu ya umma unamaanisha watu(binadamu)? Nguvu ya umma iko pamoja na majeshi yake... na ndo maana linaitwa jeshi la wananchi. Tz tunapata sana taab kwa kuendelea kufuga wahamiaji haramu kama nyie... hakunaga jema mkalisifia.
 
Binafsi kinachonifanya kumpongeza Raisi na teamnzima ya maonesho ya leo ndo hicho kinachonifanya niwashangae mithr ya kuwaogopa ninyi mkejerio maonesho ya LEO.ila cwalaum kwa mambo mengine walio na jicho pevu ndo huyaelewa na kuiona thaman yake kwajcho hilo.think big, xpect less:
 
hayo mambo niya kizamani sana karne ya saivi kwenye war utamkamata nani umpige ngumi wangekua wanamazoezi ukipingwa risasi haingi hapo hata mimi ningewakubali lakini kwakuvunja tofari watasubiri sana, hizo mambo huku kitaa watu wanafanya sana.

Duh! Aisee!
 
kwa hiyo kuruka na hizo parachute wanataka tuelewe nini hasa? Kwamba makomandoo wetu wapo fiti sana wanaruka kwa maparachute? Eti wanavunja mawe kwa vichwa, ili kumtisha nani? Hivi kweli waliyoyaonyesha yanatosha kujiridhisha juu ya ubora wao? Dunia ya sasa inaendeshwa kwa sayansi na teknolojia hivyo mbwembwe zote hizo ni kazi bure kama teknolojia ipo chini. sikatai umuhimu wa fitness kwa hawa mabwana ila tusiegemee huko zaid hakuna adui atakaye kuruhusu umsogelee daima atataka kukumaliza ukiwa mbali hivyo unapaswa kujipanga na kumkabiri akiwa mbali hivyo hivyo (teknolojia) wenzetu wana ndege zisizo na ruban ili kuhakikisha wanapambana na adui pasipo kuhatarisha maisha ya askar wao je sisi tuna kipi tunachotengeneza wenyewe? Tumeendeleza kwa kiasi gani yale magar tuliyokuwa tuna tengeneza?(nyumbu) Tuendeleze teknolojia yetu haya mambo ya kuruka na miamvuli kuwafurahisha raia hayana msingi ni sifa za kijinga. Wenzetu wanatuchora tu!

Labda ktk maonyesho kama yale ww ulitaka waonyeshe nn au wafanye nn labda? Pale wameonyesha ukakamavu wa askar wa tz. Go n ask M23 they wil tel u...
 
Mkuu ni safi na imependeza lakini cha kushangaza hao makamando siku ukiwona uswahilini basi huwa analalamika maisha magumu na kazini huwa hapandishiwi cheuo na yupo muda mrefu na walokuja karibuni hupanda cheo na mshahara wa juu

Ha ha haa hao uliowaona sio makomandoo wewe...hawaruhusiwi hata kuishi huko uswahilini na wala hawajitambulishi kuwa wao ni makomandoo
 
Wamefanya show nzuri ikikumbukwe yale ni maonyesho sio vita...na maonyesho hufanyi kweli lkn kwanini hamsifii vya kwenu kazi kukatisha tamaa km wamefanya kazi nzuri wapeni sifa zao sio kukashifu au mmetumwa
 
Kagame mwenyewe yeye kama yeye amepata mafunzo yake hapa Tanzania, ni mwanafunzi wetu yule. Usiwe na mashaka hilo linawezekana vizuri tu kukiwa na haja ya kufanya hivyo, kwa sasa hakuna ulazima huo!

mkuu jipe moyo tu, tulipeleka watu Sudan, zikaanza kurudi maiti
 
teknolojia inasaidia sana tu kukabiliana na adui ila huwezi ku-undermine human use kama vile ilivyo katika intelijensia huwezi kupuuza human intelligence (HUMINT) licha ya mahitaji ya teknolojia ya hali ya juu.
Tusisahau pia pale uwanjani kwenye maonyesho lengo ni kutoa burudani, kuonyesha vitu interesting kufurahisha watu sio kutisha watu kwa kuua mtu pale!

Nimekuelewa vyema mkuu. Ila maneno kama vile, "jeshi letu limejidhatiti kuulinda muungano" halafu tunaonyeshwa wanajeshi wanavunja matofari hapo lengo sio kutisha watu? Je kinachosemwa kinaendana na hali halisi?. Sababu naona kuna nguvu inatumika kutufanya tuyatumie maonyesho hayo kama kipimo cha ubora wa jeshi letu.
 
Hawana tofauti na akina kingwendu..waende afghanistan wakaonyeshe huo ukomando..ukomando sio kuvunja matofali...jk bwana hivi unafikiria hivi vitu kweli..acha sanaa ujijengee heshima huu mnaofanya ni upuuzi

!
!
eti makomandoo wanashuka na miamvuli!?......nyambaf
wangetonesha michezo ya kukwepa risasi niwakubali na sio hizi sanaa zao
 
Labda ktk maonyesho kama yale ww ulitaka waonyeshe nn au wafanye nn labda? Pale wameonyesha ukakamavu wa askar wa tz. Go n ask M23 they wil tel u...

Mkuu, ni ukweli makomandoo wetu wakakamavu sana ila ni ukweli pia teknolojia yetu ipo chini sana. Tumefanya maonyesho ya siraha, je ni ngapi made in Tanzania? Zote tumenunua nje! je ni baada ya karne ngapi toka sasa tutaanza kutengeneza zetu? je hilo linawezekana kwa mfumo huu wa division 5? Tupo uchi kiusalama sababu ya teknolojia yetu ndogo, Marekani wanatufahamu kuliko wewe unavyoufahamu mwili wako. Ndio tuliwaachia nchi na sisi tukabaki watazamaj wakat wa ujio wa Obama, hiyo yote ni kutokana na teknolojia yetu ndogo. Obama alitembelea pia South Afrika, je nao walifanya kama sisi? hili jambo halitusumbui kama lingetusumbua tungewekeza kwenye elimu. Achana na hadithi za M23 kikundi cha watu maamuma kabisa kijeshi. Katika kundi la wajinga wapo vinara wa ujinga kama walivyo M23 kwa upande wa jeshi.
 
Back
Top Bottom