Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Mambo ya kutishia kufa afu namfi hata sio ishu mnaharibu ramani za watu
watu washajipanga kufanya biashara msibani
cc Dinazarde na masai dada
dili ishakuwa dirisha kumbe marehemu hajafa bana
 
Last edited by a moderator:
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?

nilishawahi kudate na mkenya mara nyng. Ni wazur na wanajua kupenda ila hawapend kuchitiwa. Niliachana nae 7bu kuna siku alinifuma nikidate na mkenya mwenzake. Aisee nilichezea kipgo kw huyu mkenya mpaka nikala kona

ni juni 30. Wameanza tangu april24. Mimi nipo nafanya kazi loan board.

Njoo iringa kilolo mi nije mkuranga,temeke,pwani,bagamoyo kisalawe au ilala. Mazngra mazur,vyakula,umeme,maji, lami na mitandao yote inapatkana. Kwa mawasliano piga 0759282829 au 0766216814..


raha 2napata wote. 2kimaliza ananikwida shati eti anataka hela yake.

NINA BED WITH ARTS YA UDOM. Na nina experience ya mwaka mmoja katika ufundishaji history na kiswahili. Natafta kazi dsm. Kwa sasa nipo katika ajira hyo serikali iringa. Email emmanueljohanes355@yahoo.com

acha utani wewe. Demu wng yupo jf lakin mchezo hajui. Nyie ndo wakina warioba na sample zenu batili.

Nipo katavi wilaya ya mpanda idara ya msingi. Kwa yeyote anayetaka kuja huku anakaribishwa. Masharti atokee wilaya ya mbozi, momba rungwe au ileje. Contacts zangu ni 0767589452 au 0759282829.

mzumbe university sio chuo. Ilikuwa zamani. Kama unahtaji masters kaifate udsm. Mzumbe hakuna ki2 pale. Mimi mwenyewe nimesoma udsm masters ila waliosoma mzumbe ni material less.

mi hata wakinipa lak2 napga kaz mana nishasota sana mtaani hata buku kumi nina mwez cjaishka. Nifanyaje ili nipate access bank!? Nina post graduate ya procurement and logstic management ya tia mwaka 2013.

huyu ndiyo evy , uongo mwingi , utapeli , kusambaza namba za simu , jinsia mbili.......

mods mshughulikieni huyu mtu anatuletea utoto tu humu........

cc; Invisible , Evelyn Salt Dinazarde masai dada Vaislay King'asti
 
Last edited by a moderator:
huyu ndiyo evy , uongo mwingi , utapeli , kusambaza namba za simu , jinsia mbili.......

[MENTION]mods[/MENTION] mshughulikieni huyu mtu anatuletea utoto tu humu........

YAANI siku nyingine mwanaume,cku nyingine mwanamke.
Anaishi kila mahali kwa wakat mmoja
Kasoma vyuo vyote tz
analeta habari za mrembo mashallah huyu

MWIIIIIIIIIZIIIIIIIIII
 
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?

ww lazma utakuwa ni umukagame ila ubebadilisha ID
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ulitoa namba ya simu ili usikilize nyimbo zake nzuri tena umemsifia ni mtanashati, ongeeni tu usiku kucha.
 
muongo kweli mi nilimwambia anatafuta umaarufu jf akanijib vby kuna post nyingine kasems analipwa lki 4 na20 afu kila sehem yupo

yyani anaajira nyingi sana , hapo hapo ni mke , hapo hapo ni mume....... attention seeker tu , wanatuchosha humu.

duuuh! Asante mkuu kwa kudadavua hiri nirijambasi kweri

halafu hayupo hata makini kwenye udanganyifu wake....

Kazi Nzuri best.
Asipokomea kwenye post hii basi ni sikio la kufa.

aksante besti , wanatuchosha tu humu na mambo yao ya kipuuzi.
 
Hiki ni kidume, eti ana masters he he he masters sio makalio kwamba kila mtu anayo
masters hata kuandika hajui, mara yupo loan board mara mwalimu pyeeeeee

madume wa caliber hii wanakuwaga maliberali , wanawake wao wana hasara sana.
 
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?

BLOCK na hiyo namba mpya na akibadilisha tena BLOCK na akibadilisha tena BLOCK mpaka zote ziishe. Kama ukiona hilo haliwezekani, mpanulie mara moja tu apate anachotaka kisha achana naye. Au unahofia kwamba ukimuonjesha atanogewa?
 
Back
Top Bottom