asante!!.ana genye mbinuko huyu hlf hajapata wa kumkuna.
mke mwenza naogopa jf kuna wafu wanaongea
Ukipata mwenye genye mbonyeo ni-pm no zake
babu huyu anasemaga ng'ombe azeeki maini...ndo amtibu sasa khaah.
Evz wewe ndio huna adabu na viposti vyako!Jana kuna mtu kaweka thread kuwa umekufa baada ya kunywa sumu kama ulivyodhamiria!Wakati huo huo ulikuwa na thread yako ya kutaka kuchepuka,tukueleweje wewe?Be serious bwana,au unatafuta umaarufu JF?Hizo post zenu za kutunga muwe mnapeleka jukwaa la jokes,,huna adabu Evz
Kasinde
Heh. Marehemu mnatongozana hata huko mbinguni? Inabidi wanizike na viwalo, let me update my will.
Yuko wapi?
Ukipata mwenye genye mbonyeo ni-pm no zake
utampata kwenye thread yake kule
inaleta iman kwamba tukifa sikuhiz tunafufuka fasta
Mpe aingize kichwa tu yaishe.. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?
wala ucogope
mgonjwa huyu mama