mi ni mkenya na sioni ukweli ata.. .
Hapo mkuu umeniacha hoi!
Kwa hiyo kama usawa ukiisha basi nimekwisha?
Kama uko serious ni vizuri kusikiliza maoni usije kulalamika hukuambiwa. Hata hivyo nijuacho ni kuwa pamoja na sifa za jumla ambazo watu hupewa kama ambavyo "Wamakonde" kama wewe Sherrif mnavyoogopwa, kuna tabia ambazo ni za mtu binafsi. Hivyo ukiambiwa Wakenya ni wazuri sana jua si wote, ukiambiwa ni wabaya sana jua si wote. Sasa hatari inabakia moja:
Akili kichwani. Ila ukitaka kupendwa nawe penda. Tatizo lenu vijana longolongo nyingi na kuendekeza ngono (siumi maneno hapa, full uso wa mbuzi).
- Kumkosa mtu anayekupenda kwa dhati kwa kuwa ulibagua Uislam wake
- Kumkosa mtu anayekupenda kwa dhati kwa kuwa ulibagua Uzungu wake
- Kumkosa mtu anayekupenda kwa dhati kwa kuwa ulibagua Uchagga wake
- Kumkosa mtu anayekupenda kwa dhati kwa kuwa ulibagua Ukenya wake
Mmmh inaonyesha unayo mengi hebu weka hapa hapa huko chemba wengine si tutakosa sasaLala la mungu wangu hebu twende chemba mkisiiiii kaa mbali sana, wanaume wao hawairi, halafu wachawi ile mbaya hawajui kupika uwiiiii nitakupa data hapa hadharani noma
Hawajui kupika kwa hiyo jiandae kulishwa SUKUMA WIKI kutwa mara tatu kama dozi hadi ukome!
99% wa wanawake wooote wa kikenya wametahiriwa hivyo jiandae kwa mapenzi butu!
Ni wababaikaji sana na ni maharage ya Mbeya.... hasa akimwona hata rafiki yako ni handsome na anazo fweza unaweza kumegewa kiulainiiiiiiiiii
Wengi wao huku ughaibuni (US) wanawahusudu sana wanaume wa kibongo.
Wengi wao pia ni washamba lakini wanajiona much-know.
Hawajui kupiga pamba kama mademu wa kibongo.
Kama mchangiaji huko juu alivotonya, wanapenda sana ndoa na watu wa makabila yao kwa hiyo kukutosa akipata wa kabila yake kwao sio issue.
Kazi kwako
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza.
Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita.
Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career.
Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja.
Kwa kifupi so far tume-click! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya.
Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao.
Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza.
Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita.
Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career.
Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja.
Kwa kifupi so far tume-click! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya.
Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao.
Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!
No matter how sexy or hot a Kenyan girl looks, never date one..
No kusameheana.
Kitandani F..
Too much uzungu.
I also think they look down on us Tanzanians...
alAhahahaaa what are you doing now??? looking down on them! It depends MTU na MTU huezi judge wote coz naamini hujadate wote