Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Evz

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
674
Reaction score
130
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?
 
Endelea kublock namba yoyote ambayo huijui. Usijali sana kuwa simu za maana utazikosa. Baadae tumia no. ya ofisini kuipiga missed call weka loudspeaker ujue ni nani kapiga.
 
We wakati unampa ulitarajia nini? Hukumuuliza anataka namba yako ili afanyaje? Je upo kwenye ndoa au mahusiano? Kama vipi mpe nyapu jamaa atulie. Na unavosema eti ulikaa nae kwa bahati mbaya ulitaka ukae na nani? Mfungukiane na huyo kijana yaishe.
 
Ukiongea nae anakuambia anataka nini? Labda hataki hicho ulichopanga kumnyima.
 
Evz ilipostiwa umekufa kwa sumu//R.I.P || tumeshalia tumeanua tanga: @n.b, huu ndio ubaya wa kuposti vitu vya ajabu ajabu
 
Last edited by a moderator:
imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?

We dada hebu acha utani kwani kwa mazingira hayo mkibadilishana namba za simu inamaana mmekubaliana kuwa wapenzi. Hivyo mpe haki yake.
 
Hana adabu au wewe ndio huna adabu?jana ulitoa post kwa ile id yako nyingine kua umekufa sasa watu wameshtushwa kuona mfu anaongea af unakurupuka
Kweli JF imevamiwa na wafu

Kwani huyu ana id ngapi mweeee
 
Back
Top Bottom