steveson manumbu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 887
- 178
mimi nina BA ya kiswahili hivyo ninao uwezo mkubwa wa kufundisha somo hilo kwa level yoyote.
0757554696
0757554696
wakuu heshima yenu,
wife yupo mwanza ila ana cheti gred " A" na alimaliza chuo 2004 na hakufanya kazi ya ualimu serekalini hadi sasa,
anapenda aanze kufundisha embu wakuu nipeni mawazo yenu aanzie wapi?
teachers junction;9392330 said:1.walimu wa geography.
Diploma au graduate.
Mbagala na mbezi kimara.
Salary
600,000/= to 650,000/=
2.english
professional teacherz and non but with an experience.
For six leaverz with english combination.
Muslims to tabata
christian to mbagala
before 02nd/05/2014.
At magomeni mapipa dar es salaam.
Online registration is applied kwa wamikoani tu.
0753-810857.
Pia unaweza wasiliana na branch yetu ya mbeya kwa namba.
0655-586906
ninaweza kufundisha somo la Geography, History, Kiswahili na Civics. ninauzoefu wa miaka miwili ktk taaluma hii. pia ninadegree ya planning. call me 0769109761
Kamuombee kazi idara ya elimu ya sekondari wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi