Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

==> UKIWA MA.LAYA na unauza papuchi kwa sana...huwezi jificha, huyu ni chronic prostitute...na muongo balaaa...
 
Huu unaofanywa humu na baadhi ya watu si ustaarabu na ni kukosa hekima kabisa. Evz huu upuuzi wenu wa kutuletea thread za ajabu ajabu muache. Jana tumembiwa umekufa watu wanaandaa shughuli za mazishi leo unaweka uzi.

Hivi inakuwaje kila linalokupata unaweka online!!?
 
Sidhani kama ukimwambia mtu "sikutaki" ataendelea kukufuatilia!

imepita wiki sasa tangu aniombe namba ya simu. Ni kijana mnadhifu sana, tulikutana kwenye gari nikiwa natoka kazini na kwa bahati mbaya tulikaa siti moja. Aliniongelesha sana mpaka nikatoa namba yangu ya simu. Tangu hapo amekuwa msumbufu kila wakati anapiga simu mpaka saa8 za usiku. Kwa kweli nimetokea kumchukia sana japo hataki kuelewa kuwa simtaki. Imefika stage nimeblock namba yake ila ameamua kutumia lain nyingine. Naombeni ushauri nimfanyeje huyu mwanaume?
 
Back
Top Bottom