Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

kinga'st utakuw na mental prblm
 
king'asti huna adabu.
Evz wewe ndio huna adabu na viposti vyako!Jana kuna mtu kaweka thread kuwa umekufa baada ya kunywa sumu kama ulivyodhamiria!Wakati huo huo ulikuwa na thread yako ya kutaka kuchepuka,tukueleweje wewe?Be serious bwana,au unatafuta umaarufu JF?Hizo post zenu za kutunga muwe mnapeleka jukwaa la jokes,,huna adabu Evz
 
Last edited by a moderator:
we unajiona mzima?!.na adabu yako unaiona nzuri? unajua kabla hujafanya kitu embu kitafakari kwanza,.una umri gan wewe kama mtoto?!.kichwan pia na wasiwasi huwez ukawa mzima?!.bata maji weeh

Pokea like Mom Fay
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom