Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Tangu nimpe namba yangu ya simu sina raha.

Last edited by a moderator:
Usipokee simu yake ... option nyingine ni kumpa mchezo apunguze kiherehere loh
 
Kamata mwizi meen....sijui watu wengine huwa wanawaza nini aisee
 
[QUOTE=Honey Faith. Shost kumbe jf napo kuna umaarufu. Nlikuw thjui mie. Kutafta umaarf kwa wa2 ucowajua? Ptuuu.
 
Honey Faith. Shost kumbe jf napo kuna umaarufu. Nlikuw thjui mie. Kutafta umaarf kwa wa2 ucowajua? Ptuuu.[/QUOTE said:
Evz acha huu mchezo wa kipuuzi!Id zote hizo za nini?Una jinsia ngapi wewe?Umesoma vyuo vingapi wewe?Mara unafanyakazi Dar mara uko Iringa mara umekufa,,p.u.m.ba.vu!
 
Last edited by a moderator:
Honey Faith. Shost kumbe jf napo kuna umaarufu. Nlikuw thjui mie. Kutafta umaarf kwa wa2 ucowajua? Ptuuu.[/QUOTE said:
Kinachokufanya ubadilishe ID kila siku ni nini kwa story za uongo ni nini?Na ulimpa mwenyewe number so tafuta na mbinu zakumuepuka otherwise siku nyingine kabla haujatoa number utushirikishe kwanza
 
Back
Top Bottom