Tangia nimeacha kula ugali fikra zangu zimekuwa SHARP!

Tangia nimeacha kula ugali fikra zangu zimekuwa SHARP!

Ukitaka kuwa na akili sharp acha kula sana wanga na sukari na vitu ambavyo ni acidic in nature, increace protein and alkaline intake utakuja kunishukuru
 
Baada ya kujua ugali ni matofali sasa hivi nimekuwa mwingi wa kula protein na mavitamini , na starch nikiipata kwa ubwabwa etc.

Tutengeneze kizazi cha ma-genius kwa kuacha kula matofali

KATAA UGALI, UGALI NI MATOFALI, UGALI NI MATESO
Nikikumbuka wale Mashekh Wala ubwabwa bora tu niendelee na ugali wangu.
 
Ninyi watu weusi mnapenda sana maugali tena mnakula mengi na kudharau vyakula vya asili ya kiarabu ndio mana akili zenu nzito sana hata kufanya maamuz hata kumanage tu uongozi hamuwezi

Kwa kusema hivyo min -me atasema ati nawasema vibaya watu weusi
 
Back
Top Bottom