Hayo ni mawazo yako mgando yaani jusa akiongea yanayo msibu wewe unaona ni upuuzi akiongea LEMA unaona yakijanja acheni chuki binafsi ni mara ngapi lema anatukana viongozi na wajinga wagapiu wanamsapoti au kwasababu ya asili yakiarabu au kihindi au sitta ni nani asielezwe ukweli NDESAMBURO ALIMTUKANA KIKWETE live namuona hapa Arusha hilo hulioni wacheni ushabiki
..Jussa aliteuliwa na JK kuwa mbunge ktk bunge la muungano lakini hatukumsikia akijenga hoja yoyote ile inayohusu muungano.
..CUF tayari wana rasimu ya katiba ya jamhuri ambayo waliiwasilisha serikalini ambapo wanapendekeza kuwe na muungano wa serikali 3. katika rasimu hiyo ya CUF lipo pendekezo la serikali za Tanganyika na Zanzibar kuongozwa na magavana!! sasa ina maana Jussa hakubaliani na rasimu ya katiba iliyopendekezwa na CUF???
..mimi nadhani viongozi wa CUF wakiwa kwenye majukwaa wanatamka yale ambayo wanachama wao wanataka kusikia, lakini wakifika kwenye vikao vya maamuzi wanatenda kinyume na matamko yao.
..Mfano mzuri hapa ni suala la Zanzibar kuwa na benki kuu yake, pamoja na sarafu yake. Wakati wa kampeni za uchaguzi Maalim Seif alisema hataanzisha utaratibu huo, lakini baada ya mgogoro wake na Hamad Rashid, Maalim ameibuka na madai ya Zanzibar kuwa na benki kuu pamoja na sarafu!!!!
Siasa za Zanzibar sio kama za kwetu Tanganyika...ndo madhara ya kuruhusu Waarabu watawale siasa zetu!!
Jusa ni Juha tu, hilo twalijua, anajaribu kutafuta umashuhuri kwa kuingilia mambo ya watu. :alien: puuuuuuuuuuuuuuu, dead.......
Si kweli.
Tangia Jussa amtukane Sita, niliamua kufuatilia matamshi yake ya kisiasa, nimegundua kuwa ni mtu wa kuogopwa sana. Baada ya serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupeleka pendekezo la kuongeza eneo la kiuchumi (EEZ) UN, ashaanza maneno tayari. Yeye kwa vile chama chake kinashiriki katika serekali, angeweza kupata majibu serekalini. Huyu jamaa anatafuta umaarufu, lakini anaweza akalitumbukiza taifa kwenye balaa.
Jusa ni Juha tu, hilo twalijua, anajaribu kutafuta umashuhuri kwa kuingilia mambo ya watu. :alien: puuuuuuuuuuuuuuu, dead.......
Jussa ni Freedom Fighter 95% ya Wa Zanzibari wako pamoja na Jussa
Si kweli.
Tangia Jussa amtukane Sita, niliamua kufuatilia matamshi yake ya kisiasa, nimegundua kuwa ni mtu wa kuogopwa sana. Baada ya serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupeleka pendekezo la kuongeza eneo la kiuchumi (EEZ) UN, ashaanza maneno tayari. Yeye kwa vile chama chake kinashiriki katika serekali, angeweza kupata majibu serekalini. Huyu jamaa anatafuta umaarufu, lakini anaweza akalitumbukiza taifa kwenye balaa.
..Jussa aliteuliwa na JK kuwa mbunge ktk bunge la muungano lakini hatukumsikia akijenga hoja yoyote ile inayohusu muungano.
..CUF tayari wana rasimu ya katiba ya jamhuri ambayo waliiwasilisha serikalini ambapo wanapendekeza kuwe na muungano wa serikali 3. katika rasimu hiyo ya CUF lipo pendekezo la serikali za Tanganyika na Zanzibar kuongozwa na magavana!! sasa ina maana Jussa hakubaliani na rasimu ya katiba iliyopendekezwa na CUF???
..mimi nadhani viongozi wa CUF wakiwa kwenye majukwaa wanatamka yale ambayo wanachama wao wanataka kusikia, lakini wakifika kwenye vikao vya maamuzi wanatenda kinyume na matamko yao.
..Mfano mzuri hapa ni suala la Zanzibar kuwa na benki kuu yake, pamoja na sarafu yake. Wakati wa kampeni za uchaguzi Maalim Seif alisema hataanzisha utaratibu huo, lakini baada ya mgogoro wake na Hamad Rashid, Maalim ameibuka na madai ya Zanzibar kuwa na benki kuu pamoja na sarafu!!!!