Tangia Jussa amtukane Sita...

Jussa................ no.... anafaa kuitwa ........ Juha...................nimesoma mchakato wa kuongeza eneo sioni tatizo, kama ni taratibu zote zimefuatwa, sasa yeye alitaka wazanibar wapi washiriki ndio ajue ameshirikishwa? , yaani ni mjinga sana, sijui anataka nini mwenzetu?

wewe ndo juha hamuwezi kukurupuka tu kwenda kuomba ongezeko la bahari mujue kuwa suala la mafuta ndio linaloleta mgogoro saivi ndio maana hamutaki kutuachia na muungano feki. sasa iweje hizi ni nchi mbili zilizoungana na Zanzibar tuna mipaka yetu na tanganyika mna mipaka yenu ? na kama mnafikiri sisi wajinga mtaona basi raha ya muungano soon ,mkae mkijua suala la mafuta halimo katika muungano wenu feki
 
Jussa ana asili ya kihindi,lakini yeye na wazee wake wawili ni wazaliwa wa zanzibar sio kama wewe mzaliwa wa tanganyika lakini wazee wako wakongo. Nani mzalendo wa nchi yake ?

Wakongo hawajawi kuwa uadui na sisi bali waarabu waliuza babu zetu halafu wakasaga korodani zao wasizaliane huko uarabuni. Sasa huyu Jussa unayemshabikia ni mjukuu wa mfanyabiashara maarufu wa watumwa na uendeleze ushabiki wako tu, siku utajikuta uko oman bila korodani
 
Jussa hana jipya,kwanza hana mvuto wala ushawishi mbele ya jamii.ANABWATA TU

Kikubwa ni kufikisha ujumbe na pasi na shaka umefika ndio maana Tanganyika wanahaha kwani janja yao imebainika.

Tunasubiri majibu ya JMTz
 
niliiona clip aliyokuwa anamtukana sitta sikuamini macho yangu huyu jamaa kwa ujumla hafai kupewa hata udiwani
 
Back
Top Bottom