Tangia Jussa amtukane Sita...

Hahahahahahahaa...tatizo la Jussa si uarabu wake bali upeo mdogo wa kufikiri!
Nani ni mzalendo kama Prof.Shivji?Je,hana asili ya India yule?
 
Jussa labda ni mtoto(tafsiri ya zanzibar inaitajika hapa).Hana mke wala mtoto na miaka yote hiyo.jiulize kwanini na zanzibar unavyoijua kwa mambo ya kifirauni na ubasazi. Moja jumlisha moja utapata mbili mwenye akili hatakuwa amenielewa.niko mji magharibi.kama mna swali mniulize.
 
Bora mungenyaza Wakuu. Inaonesha hamumjui Jussa. Kile ni kisiki cha Mpingo. Hamumuwezi.
 
Mie mndamba ila wapogoro ni wenzangu bondeni ulanga kilombero hatufanani na jusa kichomi
 
hii ni platform ya great thinkers jamani tujadili hoja sio kabila ya mtu, uarabu wa jussa unahusika vipi hapa.

Hao wanao jiita "great thinker" wamekuwa programmed kufikiri na kusema baadhi ya mambo fulani...Hawana uwezo zaidi ,usiwategemee...
 
Mods ifunge mada kwani imekosa mwelekeo. Watu badala ya kujadili mada wanajadili watu tena kwa kuwatusi.

Mods kazi kwako
 
kwahiyo ni Mwarabu koko

28227_125532397480789_100000720881840_166262_8301001_n.jpg

HUyu ni mjinga tu, Si ni rafiki mkubwa sana wa Rostam Aziz? kwa hiyo lao moja tu, hawa waarabu tusipokuwa makini wataleta balaa Tanzania ukizingatia tuna Serikali ya Kisharobaro sana.
 
HUyu ni mjinga tu, Si ni rafiki mkubwa sana wa Rostam Aziz? kwa hiyo lao moja tu, hawa waarabu tusipokuwa makini wataleta balaa Tanzania ukizingatia tuna Serikali ya Kisharobaro sana.

Jussa mwakilishi makini na kwa kweli Watanganyika hawalali kwa raha kutokana na Kijana huyu alivyowakaa kooni kudadadek! Kama huna habari hata CCM wa Zanzibar wanamtumia huyu Jamaa kwa ajili ya kupata ukombozi wa Zanzibar kwani wao wanaoneana haya kutokana na mazingira waliyojiweka.
 
Tangia Jussa amtukane Sita, niliamua kufuatilia matamshi yake ya kisiasa, nimegundua kuwa ni mtu wa kuogopwa sana. Baada ya serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupeleka pendekezo la kuongeza eneo la kiuchumi (EEZ) UN, ashaanza maneno tayari. Yeye kwa vile chama chake kinashiriki katika serekali, angeweza kupata majibu serekalini. Huyu jamaa anatafuta umaarufu, lakini anaweza akalitumbukiza taifa kwenye balaa.

Adui wa rafiki yako ni adui yako. Kama Jusa na Rostam ni marafiki, na Sitta na Rostam ni maadui, unategemea Jusa na Sitta waweje. Huyu Jusa kweli ni hatari kama alivyo Rostam
 
Tangia Jussa amtukane Sita, niliamua kufuatilia matamshi yake ya kisiasa, nimegundua kuwa ni mtu wa kuogopwa sana. Baada ya serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupeleka pendekezo la kuongeza eneo la kiuchumi (EEZ) UN, ashaanza maneno tayari. Yeye kwa vile chama chake kinashiriki katika serekali, angeweza kupata majibu serekalini. Huyu jamaa anatafuta umaarufu, lakini anaweza akalitumbukiza taifa kwenye balaa.



Hapo red nadhani ndio pamekuuma sana , the rest of the story ni vionjo tu, umeumia sana itta kutukanwa, mbona humu JF JK anatukanwa sana na mbona sikuoni kulalama namna hiyo ?!
Mwacheni azungumze anavojisikia kwa sababu kila mmoja anapayuka kivyake vyake! mradi havunji sheria za nchi ! MChukulie tu ni mwanadamu kama wengine amboa wanatoa lugha chafu dhidi ya viongozi wao na hawafanywi lolote!
 
Hujui kama jussa ni mwarabu? siku wakishika madaraka kule pemba kutakuwa kwa kisultani. wakuogopwa kama ukoma

Ni mfano wa Nyerere mkatoliki alipochukuwa Tanganyika akaendesha Tanganyika KIKATOLIKI KATOLIKI na akashinda na leo anasimikwa MWENYE HERI kwa KAZI KUBWA ALOIFANYA! tofauti ipo wapi?
 
hamkani si shwari tena


kwa kweli sanduku ;a panorama ndio limeanza kufunguliwa


tujipange kushuhudia makubwa.

matusi na jazba hazisaidiiii alicjokizungumza Jussa ni kwa kweli ni mawazo ya wazanzibari waliokuwa wengi. nnadhani mmefatilia baraza la wakilishi na hao wasiokuwa waaarabu au wahindi walivyokuwa wakali.

pia si mara moja au mbili wabunge wazanzibar wakiripuka bungeni, kiukweli kumekucha
 
Kwa majaribio madogo tu jana nilituma mada kuhusiana na wapi rais Jakaya Kikwete anapata muda kwenda misibani lakini siyo kuhimiza maendeleo. Mada hiyo iliuawa pamoja na kuituma zaidi ya mara tatu. Kwa mchezo huu si JF itangaze wazi kuwa imeingia ubia na serikali kufanya kazi ya ushushu na PR? Si hilo tu kwanini mtu atoe dukuduku lake watu au kikundi cha watu kiliondoe kwenye matandao hata bila kumtaarifu? Hizi ni tabia za magazeti ya chama na asasi nyingine za kifisadi za propaganda za serikali. Heri kutangaza wazi kuwa JF imeingiliwa.
 
wewe ndo juha hamuwezi kukurupuka tu kwenda kuomba ongezeko la bahari mujue kuwa suala la mafuta ndio linaloleta mgogoro saivi ndio maana hamutaki kutuachia na muungano feki. sasa iweje hizi ni nchi mbili zilizoungana na Zanzibar tuna mipaka yetu na tanganyika mna mipaka yenu ? na kama mnafikiri sisi wajinga mtaona basi raha ya muungano soon ,mkae mkijua suala la mafuta halimo katika muungano wenu feki
 
Zanzibar ni autonomous territory ndani ya Tanzania. Swali la msingi je pendekezo la Tibaijuka linakiuka haki yeyote ya zanzibar kama eneo linaojitegemea? ie infringe territorial rights of Zanzibar.
huo ujanja wenu tunaujua hata kikwete akiwa umoja wa mataifa anesma kuwa tanzaniz ni muungano wa nchi mbili lakini zote hizi zinasherkea uhuru wa tanganyika jee amesahau kuwa znz ina uhuru wake kamili ambao mnaupoteza mtakuja kujuta nyinyi watanganyika tonge itakutokeeni puani
 
Back
Top Bottom